Dodoma FM

wiki ya Azaki

8 January 2024, 9:18 pm

Jamii yaendelea kusisitizwa kuwapatia watoto lishe bora

Wazazi wanashauriwa juu ya mambo ya kuzingatia katika kuandaa mchanganyiko wa lishe bora unaofaa kwa mtoto. Na Thadei Tesha.Jamii imeendelea kusisitizwa kuwapatia watoto lishe bora na kuacha kuwapa chakula kimazoea kwa lengo la kumsaidia mtoto kuwa na afya njema. Leo…

18 September 2023, 2:29 pm

Jamii yatakiwa kuzingatia lishe bora

Mara kadhaa Wizara ya Afya pamoja na taasisi mbalimbali za afya nchini zimekuwa zikitoa ushauri kwa  jamii kuzingatia ulaji wa lishe bora lengo ikiwa ni kuimarisha afya na kinga ya mwili. Na Diana Massae. Jamii  imetakiwa kuzingatia ulaji wa vyakula…

16 August 2023, 5:09 pm

Umaskini watajwa kuchangia lishe duni

Lishe ni muhimu kwa afya ya Watoto na Watu wazima ambapo ulaji duni kwa Watoto unaweza kusababisha mashambulizi ya maradhi kama vile utapiamlo na udumavu wa mwili. Na Yussuph Hassan. Ukata wa Maisha pamoja na Elimu duni kwa baadhi ya…

30 June 2023, 5:34 pm

Familia zatakiwa kuzingatia lishe bora Bahi

Ulaji unaofaa kwa kuzingatia makundi matano ya vyakula unajenga kinga ya mwili na kukabiliana na maambukizi ya magonjwa mbalimbali. Na Mindi Joseph. Jamii imehimizwa kuendelea kuzingatia mlo kamili ikiwemo makundi matano ya chakula ili kujenga familia zenye afya bora. Savera…

20 April 2023, 3:28 pm

Chakula bora ni kinga dhidi ya Ukoma

Mtaalamu wa Afya anasisitiza kama mtu atazingatia lishe bora ataepuka maambukizi ya ugonjwa huu wa ukoma. Na Yussuph Hassan. Ulaji wa chakula bora ni moja kati ya tiba ya kuepukana ugonjwa wa ukoma.

9 June 2022, 3:32 pm

Serikali kufanya uwekezaji wa lishe kupambana na utapia mlo

Na;Mindi Joseph Chanzo. Serikali imeahidi kufanya Uwekezaji Kitaifa katika lishe nchini kama sehemu ya mapambano dhidi ya utapiamlo kuanzia ngazi ya Kaya hadi Taifa. Akizungumza Jijini Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu  (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. George…