Dodoma FM
utapiamlo
27 April 2021, 8:53 am
Akina mama wajawazito washauriwa kutumia unga ulioongezwa virutubishi
Na;Jayunga Pius Wanawake walio katika umri wa kujifungua wameshauriwa kutumia chakula aina ya ugali unatokana na unga ambao umeongezwa virutubishi ili kuepuka kujifungua watoto walio na matatizo mbalimbali ya kiafya ikiwemo kichwa kikubwa na mgongo wazi. Ushauri huo umetolewa na…