Dodoma FM

usaffi

19 November 2023, 11:18 am

CCM yakerwa kusuasua  miradi ya Maji Dodoma

Ikumbukwe kwamba  mwezi June mwaka huu, Katibu Mkuu wa chama cha mapinduzi Comredi Daniel Chongolo alifanya ziara Mkoani Dodoma na kuagiza kukamilishwa haraka kwa mradi wa maji wa kata ya chali na Ibihwa lakini mpaka sasa miradi yote imesimama kutokana…

25 October 2023, 1:46 pm

Jamii yaonywa kuepuka unyanyasaji wa kijinsia

Katibu huyo amewasihi wanaume ambao wamekuwa wakipigwa na wake zao majumbani kufichua vitendo huvyo bila haya ili sheria iweze kuchukua mkondo wake. Na Bernad Magawa. Katibu wa chama cha Mapinduzi wilaya ya Bahi Paulina Deus Bupamba amekemea vikali suala la…

25 October 2023, 1:02 pm

Watendaji wa serikali watakiwa kutatua kero za wananchi

Katika Mkutano huo Mkuu wa wilaya ya Bahi Mh Godwin Gondwe aliambatana na kamati ya usalama ya wilaya hiyo. Na Bernad Magawa Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gondwa amewaagiza watendaji wa Serikali  katika ngazi zote wilayani humo kuhakikisha…

13 September 2023, 4:59 pm

Nini kinapelekea baadhi ya wazazi kutelekeza familia

Leo mchanyato upo Bahi kuzungumza na Jane Mgidange ambaye  ni mratibu wa Elimu jumuishi Wilaya Ya Bahi Kufahamu zaidi nini sababu za  kutelekeza familia. Na Leonard Mwacha. leo tunaangazia sababu za kutelekeza familia ambapo jamii inahusika moja kwa moja kabla…

10 August 2023, 1:20 pm

Wazazi watakiwa kuwapatia haki ya elimu watoto wenye ulemavu

Ingawa malengo ya maendeleo endelevu yanahimiza kuwa hakuna mtoto anayepaswa kuachwa nyuma lakini utafiti uliofanywa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumiwa Watoto UNICEF 2022 unaonesha kuwa kati ya watoto milioni 240 wenye ulemavu duniani nusu hawajawahi kuhudhuria shuleni.…

9 August 2023, 5:58 pm

Vijana Bahi waomba kandarasi ili wajikwamue kimaisha

Vijana hao wameanzisha karakana ndogo ya kutengeneza samani mbalimbali na kuwasaidia vijana hao kujipatia kipato. Na Bernad Magawa . Baadhi ya vijana waliojiajiri Wilayani Bahi Mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwaunga mkono kwa kuwapa kandarasi katika maeneo waliyobobea ili waweze kujikwamua.…

28 July 2023, 2:13 pm

Billioni 12 zatarajiwa kutekeleza miradi ya barabara Bahi

Kupitia mradi huo wananchi wametakiwa kuanzisha miradi midogomidogo itakayowasaidia kujikwamua kimaisha. Na.  Bernad Magawa Zaidi ya Shilingi Billion 12 zinatarajiwa kutekeleza miradi ya barabara wilayani Bahi mwaka huu ili kuboresha miundombinu ya usafiri na kuharakisha maendeleo ya wananchi wa Bahi.…

21 July 2023, 5:25 pm

Historia ya kilimo cha mpunga wilayani Bahi

Msimuliaji wetu anaendelea kutufahamisha kuanzishwa kwa mashamba haya na lini yalianzishwa. Na Yussuph Hassan. Tunaendelea kuangazia  historia ya wilaya ya Bahi na leo tutafahamu historia ya mashamba ya mpinga katika wilaya hii.