Unyonyeshaji
24 October 2023, 2:16 pm
Wizara ya Maji yasaini mkataba na SU-YAPI Engineering Consulting Inc
Mkataba umesainiwa 23 Oktoba, ikiwa ni awamu ya kwanza, mradi ambao utagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 312 kwa ujenzi wa Bwawa lenye ujazo wa lita za maji milioni 440. Na Seleman Kodima Wizara ya Maji imesaini mkataba wa mwaka mmoja…
16 October 2023, 6:44 pm
Wakazi wa Handali walalamika kukosa maji safi na salama
Wakala wa Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA wapo kwenye mpango wa bajeti katika kuhakikisha miundombinu ya maji katika kijiji cha Handali inafufuliwa. Na Mindi Joseph. Kusimama kwa Mradi wa Maji unaogharimu zaidi ya Milioni 600 katika kijiji cha…
19 September 2023, 4:31 pm
Mradi wa maji wa Nzugumi wafikia asilimia 87
Mkoa wa Dodoma unazalisha nusu ya mahitaji ya maji ambapo mahitaji ya maji ni lita Milion 133 kwa siku na yanayozalishwa ni lita milion 67.8 hivyo kuwa na upungufu wa lita Milioni 66.7 kwa siku. Na Mindi Joseph. Mradi wa…
29 August 2023, 5:11 pm
Wananchi watakiwa kuzingatia unywaji wa maji kwa kiwango kinachohitajika
Hata hivyo, hii inaweza kutofautina kulingana na umri wako, jinsia na kiwango cha shughuli unayoifanya. Na Abraham Mtagwa. Imeelezwa kuwa kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa hasa uwepo wa jua kali nyakati za mchana, ni muhimu kwa wanajamii kuzingatia…
11 July 2023, 1:10 pm
Wakazi wa Chang’ombe Kongwa waiomba serikali iwatatulie adha ya maji
Changamoto ya maji imesalia kuwa kilio kwa wananchi pamoja na serikali kuendelea kufanya jitihada mbalimbali. Na Mindi Joseph. Wananchi wa kitongoji cha chang’ombe Kata ya Laikala Wilyani Kongwa wameiomba serikali kuwasaidia kutatua changamoto ya maji inayowakabili. Visima vilivyopo ni viwili…
9 June 2023, 12:44 pm
Huduma ya maji nchini sasa 88% mijini, 77% vijijini
Aidha ametoa wito kwa jamii kuzingitia sheria na kulinda miundombinu ya maji ili kuunga mkono jitihada za upatikanaji wa huduma ya maji nchini. Na Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa hali ya upatikanaji wa huduma ya maji nchini imeendelea kuimarika na kufikia…
29 May 2023, 8:09 pm
Wananchi Bahi Makulu kupelekewa huduma ya maji
Na Bernad Magawa. Mbunge wa jimbo la Bahi Mheshimiwa Kenneth Nollo ameahidi kupeleka huduma ya maji safi katika kijiji cha Bahi Makulu ili kuwaondolea adha wananchi kutokana na kutokuwepo kwa huduma hiyo kijijini hapo. Nollo ameyasema hayo Mei 28, 2023…
25 April 2023, 5:53 pm
Wakazi wa Chamwino watakiwa kutunza miundombinu ya maji
Itakumbukwa kuwa Mwaka 2020 jiwe la msingi la Mradi huo liliwekwa ikiwa ni ishara ya kuanza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa tenki la maji Buigiri ambapo April 25 Mwaka huu . Na Seleman Kodima. Ikiwa leo ni maadhimisho ya…
25 January 2023, 4:40 am
Upatikanaji wa Maji Mlowa barabarani bado ni changamoto
Na; Victor Chigwada. Licha ya maboresho kufanywa katika kisima cha maji katika kata ya Mlowa barabarani lakini bado upatikanaji wa huduma ya maji katika kata hiyo unasuasua. Wananchi wa Kata ya Mlowa barabarani wamesema kuwa licha ya uwepo wa kisima…
21 January 2023, 10:13 am
Wakazi wa Igungulile walazimika kutumia maji ya Mabwawa
Na; Victor Chigwada. Kukosekana kwa huduma ya Maji safi na salama imetajwa kuwa ni sababu ya Wananchi wa kijiji cha Igungulile wilayani Chamwino kutumia maji ya mabwawa. Mwenyekiti wa kijiji cha Igungulile Bw.Hamisi Msangi amesema changamoto ya maji imesababisha wananchi…