Umeme
11 April 2024, 5:18 pm
Idifu waomba kusambaziwa huduma ya umeme
Tangu REA kusimika nguzo za umeme kwa kufuata muelekeo wa barabara imesababisha baadhi ya maeneo mengi kushindwa kufikiwa na huduma hiyo. Na Victor Chigwada.Uongozi wa serikali ya kata ya Idifu wilayani Chamwino umeiomba serikali kuwasambazia huduma ya umeme katika maeneo…
15 December 2023, 7:40 am
Programu ya makuzi, malezi na maendeleo ya awali ya mtoto yatakiwa kusimamiwa bi…
Mafanikio ya utekelezaji wa programu hiyo kwa takribani miaka 2 tangu uzinduliwe mwaka 2021 hayakuletwa na Serikali pekee. Na Mariam Kasawa.Watekelezaji wa programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi,Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto wametakiwa kwenda kusimamia ipasavyo mipango waliyojiwekea…
14 July 2023, 5:32 pm
Serikali kuendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wakandarasi wazawa
Wakandarasi wazalendo nchini wameiomba serikali kuwapatia miradi mikubwa ili kutoa ajira kwa watanzania wengi. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amesema kuwa serikali hasa ya Mkoa wa Dodoma itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wakandarasi wazawa…
10 July 2023, 6:23 pm
Kongwa yapongezwa kwa kupata hati safi ya ukaguzi
Senyamule amesema kitendo hiki kimeipa heshima kubwa halmashauri ya wilaya ya Kongwa, mkoa wa Dodoma na nchi kwa ujumla. Na Mariam Matundu. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ameipongeza halmashauri ya wilaya ya Kongwa kwa kupata Hati safi…
6 July 2023, 5:22 pm
Serikali kupitia JKT kuwafundisha stadi za kazi watoto waishio katika makao ya w…
Jeshi la Kujenga Taifa JKT limekabidhi msaada wa mchele, sukari, mafuta ya kupikia, chumvi na unga wa ugali unaozalishwa na vijana walioko kwenye kambi mbalimbali za JKT nchini. Na Mariam Matundu. Serikali kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) imeandaa mkakati…
2 June 2023, 6:45 pm
Wataalam wa mipango, uratibu watakiwa kutenga bajeti kutekeleza program ya MMMAM
Waziri Dkt. Gwajima amesema katika bajeti zijazo itabidi uhakiki wa bajeti ufanyike ili kubaini kama bajeti ya utekelezaji wa Programu hiyo umezingatiwa. Na Mariam Matundu. Rai imetolewa kwa wataalam wa mipango na uratibu katika sekretarieti za mikoa kuhakikisha wanatenga bajeti…
16 May 2023, 10:56 am
Serikali yazindua kampeni ya kulinda maadili
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma amepongeza juhudi za Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wanawake na Makundi Maalum kwa juhudi za kutoa za Elimuu juu ya umuhimu wa Familia na Upendo katika Jamii zetu. Na Mariam Matundu. Katika kuadhimisha…
11 May 2023, 11:12 am
UVCCM Bahi yahimiza wananchi kuendelea kushiriki miradi ya maendeleo
Katibu wa Jumuiya hiyo wilaya ya Bahi Fatuma sanda amesema miradi mikubwa iliyopelekwa wilayani humo ni fahari ya wananchi . Na Bernad Magawa. Jumuiya ya Vijana wa chama cha Mapinduzi wilaya ya Bahi imetoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika…
31 March 2023, 4:09 pm
CCM yaagiza serikali kutekeleza miradi yote Wilayani Bahi
Hii inafuatia kuhakikisha ilani ya chama hicho inatekelezwa kikamilifu na kuwaletea maendeleo wananchi. Na Bernad Magawa. Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Bahi imeiagiza Serikali wilayani humo kuhakikisha miradi yote inayotekelezwa wilayani humo inaendana sawa na…
1 March 2023, 5:45 pm
Wakazi wa Mahama waiomba Serikali huduma ya umeme
Ikumbukwe Feb 15 Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan alishudia tukio kubwa la kihistoria la utiaji saini mikataba ya utekelezaji wa miradi ya umeme. Na Victor Chigwada Baadhi ya vitongoji vya kijiji cha Mahama vimeendelea kukosa…