ulinzi
24 January 2024, 11:55 pm
Wafanyabiashara wa Mchele Bahi walia kukosa soko la uhakika
Mamlaka zinazohusika na suala hili zinatakiwa kuharakkisha upatikanaji wa huduma ya soko ili wakulima wa mpunga waweze kuuza mchele badala ya kuuza mpunga ambao wanaeleza kuwa faida yake ni ndogo. Na Bernad Magawa. kukosekana kwa soko la uhakika la mchele…
4 January 2024, 4:42 pm
Bei ya sare na vifaa vya shule yapaa
katika soko la machinga complex bidhaa zinazoonekana kushamiri ni pamoja na sare za shule kama mashati, sweta za shule madaftari pamoja na viatu vya shule. Na Thadei Tesha.Wakati wanafunzi wakijiandaa kufungua shule kwa ajili ya kuanza masomo yao kwa mwezi…
19 December 2023, 6:41 am
Wafanyabiashara wakiri biashara kuwa ngumu msimu huu wa sikukuu
Watu wanashauriwa kufanya maandalizi mapema ya mahitaji kwa ajili ya kipindi cha sikuku ili kuepuka uwepo wa changamoto mbalimbali ikiwemo bidhaa kupanda bei. Na Aisha Alim. Wafanyabiashara wa nguo pamoja na mapambo ya christmas katika eneo la one way Jijini…
27 November 2023, 2:11 pm
Majengo waeleza kunufaika na mikopo
Uwepo wa Taasisi za kifedha zinazojihusisha na utoaji wa mikoo kwa wajasiliamali imechangia kukuza biashara zao na kupata kipato cha kuendesha familia. Na Khadija Ibrahim. Wafanyabiashara katika soko kuu la majengo Jijini Dodoma wameeleza kunufaika kiuchumi kutokana na mikopo inayotolewa…
14 November 2023, 3:29 pm
Kuondolewa kwa sheria ya kushusha mizigo Job Ndugai kwaleta neema kwa wafanyabia…
Wafanyabiashara katika soko kuu la majengo jijini Dodoma pamoja na soko la sabasaba walikuwa wakishusha mizigo yao katika soko la Job Ndugai na katika siku za hivi karibuni Jiji la dodoma liliruhusu wafanyabiashara kushusha mizigo katika masoko yao. Na Khadija…
8 November 2023, 6:05 pm
Wizi waibuka soko la Machinga Complex Dodoma
Ni takribani mwaka mmoja sasa tangu kuzinduliwa kufanya biashara kwa wamachinga ambapo awali walikuwa wakifanyia biashara katika maeneo ya katikati ya jiji la Dodoma. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara katika soko la Machinga Complex jijini Dodoma wamelalamikia tabia ya…
18 October 2023, 1:47 pm
TBS yasisitiza wadau kushiriki uandaaji wa viwango
Wizara ya Viwanda na Biashara kwa kushirikiana na Shirika la Viwango Tanzania, TBS, Shirika la Viwango Zanzibar, ZBS pamoja na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF), imeandaa tuzo za ubora za kitaifa awamu ya nne kwa 2023 kwa wajasiriamali, wazalishaji wa…
27 September 2023, 4:22 pm
Usimamizi mbovu wapelekea biashara nyingi kufa
Usimamizi wa biashara nyingi umekuwa ni changamoto na sababu kubwa inayochangia kuanguka kwa asilimia kubwa ya biashara hizo. Na Mindi Joseph. Usimamizi wa Biashara kwa wafanyabiasha imetajwa kuwa bado ni changamoto inayochangia kuanguka kwa asilimia kubwa ya biashara. Hayo yamebainishwa…
19 September 2023, 5:18 pm
Wafanyabiashara Majengo wapongeza kuimarika kwa usafi
Usafi katika Soko hilo umesaidia kuendelea kuepukana na Magonjwa mbalimbali ya Mlipuko yatokanayo na uchafu. Na Mindi Joseph.Wafanyabiashara katika soko kuu la Majengo wamesema hali ya usafi imeimarika katika soko hilo kufuatia kuwepo kwa eneo maalum la kuweka takataka. Baadhi…
21 August 2023, 4:04 pm
Masoko ya nje chanzo tikiti maji kuadimika nchini
Tunda la tikiti ni moja kati ya matunda muhimu sana katika afya ya mwanadamu kutokana na madini yaliyo ndani yake kama vile Calcium na vitamin A. Na Neema Shirima. Baadhi ya wafanyabiashara wa tunda la tikiti maji katika soko kuu …