Dodoma FM
ujenzi wa shule
27 September 2021, 12:15 pm
Kata ya Chiwe yakusanya fedha kwaajili ya ujenzi wa sekondari Moleti
Na; Benard Filbert. Serikali ya kata ya Chiwe wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma imefanikiwa kukusanya zaidi ya milioni 30 lengo ikiwa kujenga shule ya sekondari moleti ili kutatua changamoto ya wanafunzi kutembea umbali mrefu kwenda shuleni. Hayo yameelezwa na diwani…