Dodoma FM

udugu

21 July 2023, 4:48 pm

Kaizer Chiefs kucheza na Yanga kesho

Karibu upate habari za michezo kutoka hapa Nchi Tanzani zikisimuliwa kwako na mwana michezo wetu Rabiamen Shoo. Na Rabiamen Shoo. Kikosi cha Kaizer chiefs ‘Amakhosi’ kimetua Tanzania kwa ajili ya Mchezo wa Kirafiki dhidi ya Yanga kwenye Kilele cha Wiki…

7 June 2023, 4:19 pm

UMISETA wahimizwa nidhamu

Afisa usalama wilaya ya Kongwa Bwana Mwakasendo amesisitiza kuzingatia muda na kuwa wavumilivu kuendana na ulimwengu tulionao kwani muda ni siri ya ushindi. Na Bernadetha Mwakilabi. Wanafunzi 115 wa shule za sekondari wilayani Kongwa wanaoshiriki mashindano ya umoja wa michezo…

22 May 2023, 5:53 pm

Mtembezi Marathon kutangaza utalii wa ndani

Akizungumza baada ya kikao hicho mkuu wa wilaya ya Dodoma Mh Jabiri Shekimweri amefafanua malengo ya mbio hizo. Na Alfred Bulahya. Ofisi ya mkuu wa wilaya ya Dodoma, Mtembezi Adventures, Pamoja na Dodoma Media Group imeandaa mbio maalum (Mtembezi Marathoni)…

17 May 2023, 4:51 pm

TMO yawasilisha rasimu ya ujenzi wa kituo cha michezo Mbande

Kwa mujibu wa viongozi wa Taasisi hiyo  ujenzi wa Kituo hicho utaleta tija kwa wananchi kwani utahusisha maeneo ya vitega uchumi mbalimbali yakiwemo maduka na huduma nyinginezo. Na Alfred Bulahya. Taasisi ya Tembea Kwa Matumaini Organization (TMO) imewasilisha rasimu ya…

4 May 2023, 1:03 pm

Mchezo wa kriketi kuongeza mahudhurio ya wanafunzi

Afisa michezo wilayani Kongwa  amesema wanawajengea uwezo walimu waweze kuwasaidia watoto kumudu vitendo vya mchezo wa kriketi ili kupitia ubora wa timu za shule zao waweze kupata wachezaji wazuri wa kuunda timu za Wilaya  na pia wapate fursa ya kuchaguliwa…

23 March 2021, 10:24 am

Udugu na Umoja wadhihirika Zanzibar leo

Na; Mariam Kasawa Mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati  Dkt.John Magufuli utalala Ikulu Zanzibar leo Jumanne Machi 23, 2021 na kesho asubuhi utapelekwa Mkoani Mwanza. Hayo yameelezwa leo na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipokuwa kwenye uwanja wa Amaan Zanzibar…