Uchunguzi
9 January 2024, 11:38 pm
Wananchi wahimizwa kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa
Uchaguzi wa viongozi mbalimbali wa serikali za mitaa unatarajia kufanyika mwaka huu huku wananchi wakiendelea kusisitizwa suala la kushiriki katika kuchagua viongozi sahihi. Na Thadei Tesha. Mkuu wa wilaya ya Dodoma mh. Jabir Shekimweri amewataka wananchi jijini Dodoma kushiriki kikamilifu…
27 December 2023, 4:58 pm
Wakazi wa Bicha Kondoa wahofia kuathirika na mafuriko
Wananchi wanaoishi pembezoni mwa mkondo wa maji wamekuwa wakisisitizwa kuhama maeneo hayo ili kuepuka athari ambazo zinaweza kuwapata ikiwemo ikiwemo mvua kubwa zinazoambatana na uharibifu wa mali na maisha ya watu. Na Nizar Mafita. Wananchi wa Mtaa wa Bicha katika…
14 November 2023, 6:40 pm
Yafahamu makundi na mgawanyiko wa majukumu ya nyuki kwenye mzinga
Je Maisha ya Nyuki yapoje katika Mzinga. Na Yussuph Hassan. Nyuki wamegawanyika katika aina kuu mbili pamoja na mgawanyo wa majukumu katika kila koloni.Leo Afisa nyuki anatueleza makundi na aina ya majukumu ya nyuki kwenye makoloni yao.
2 November 2023, 12:46 pm
Mpango maalum ‘Tumewasikia Tumewafikia’ wazinduliwa Dodoma
Mpango huo ulizinduliwa katika ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dodoma ambapo ni programu ya nchi nzima yenye lengo la kuhakikisha wananchi wanapata taarifa juu ya yale yanayotekelezwa na seikali ya awamu ya sita ukiwa na jina TUMEWASIKIA TUMEWAFIKIA. Na…
28 September 2023, 4:42 pm
MCT yakiri kukinzana kwa sheria ya matumizi sahihi ya mitandao
Hali hiyo imekuwa ikikinzana na Sheria ya haki ya kupata Taarifa ambayo inatoa wigo kwa wananchi kuwa huru kupata taarifa ambazo hazijazuiliwa kisheria. Na Seleman Kodima. Pamoja na Serikali kuhimiza Matumizi sahihi ya Mitandao ya kijamii, Baraza la Habari Tanzania…
6 September 2023, 12:52 pm
Watumiaji wa vyombo vya usafiri walalamika kusimamishwa muda mrefu
Kwa mujibu wa wakazi wa Jiji la Dodoma wanasema kuwa mara nyingi changamoto ya foleni Jijini hapa husababashwa na misafara ya viongozi na kuchangia kukaa muda mrefu kandokando ya barabara wakingoja misafara kupita. Na Khadija Ayoub. Watumiaji wa vyombo vya…
28 August 2023, 3:22 pm
Wananchi watakiwa kushiriki wiki ya ufuatiliaji na tathmini
Kongamano hili la Pili la Kitaifa la Wiki yaUfuatiliaji na Tathmini litakalofanyika Jijini Arusha mapema mwezi Septemba, itawalenga zaidi,wataalam wa Ufuatiliaji na Tathmini,Maafisa na Mameneja wa Miradi kutoka katika Taasisi zote za Umma,Taasisi Binafsi, makampuni, Asasi za Kiraia na mashirika…
31 July 2023, 6:11 pm
Wananchi watakiwa kujitokeza kuonesha bidhaa zao maonesho ya 88
Sherehe za maonesho ya nanenane hufanyika kila mwaka ifikapo Augost 8, ambapo kauli mbinu ya mwaka huu kitaifa ni, vijana na wanawake ni msingi imara wa mifumo endelevu ya chakula, huku kauli mbiu ya kikanda ikisema kilimo ni biashara na…
24 July 2023, 6:37 pm
Mikoa yote nchini yaagizwa kuadhimisha siku ya mashujaa
Maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yamekamilika katika eneo la Mtumba jijini Dodoma huku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kesho kuweka jiwe la msingi kuashiria uzinduzi wa eneo hilo. Na…
13 June 2023, 2:39 pm
Tume ya haki za binadamu yabaini maeneo yanayoongoza utumikishaji watoto
Maadhimisho ya siku ya kupinga ajira kwa watoto hufanyika june 12 kila mwaka na mwaka huu maadhimisho hayo yamekwenda sambamba na kaulimbiu isemayo haki ya jamii kwa wote. Kukomesha ajira ya watoto. Na Pius Jayunga. Tume ya haki za binadamu…