Dodoma FM
tozo mpya
16 July 2021, 1:43 pm
Wakazi jijini Dodoma wameiomba serikali kuangalia upya makato yanayo tozwa kwa s…
Na;Yussuph Hans. Wakazi Jijini Dodoma wamelalamikia ukubwa wa makato yanayotozwa kwa sasa katika miamala ya fedha kwa njia ya simu, huku wakiomba Serikali kuangali tena sheria hiyo upya. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wakazi hao wamesema kuwa makato…