Dodoma FM

takataka

1 April 2022, 2:31 pm

Wakazi wa mtaa wa Itega walalamikia kuzagaa kwa takataka

Na; Neema Shirima. Wananchi wa mtaa wa Itega kata ya Nkuhungu jijini Dodoma wamelalamikia suala la kuzagaa kwa takataka katika maeneo hayo kutokana na kutokuwepo gari ya kuzoa takataka hizo. Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema magari yanayojishughulisha…