Dodoma FM
spika
11 January 2022, 2:14 pm
Zoezi la kuchukua fomu za uspika wa Bunge laendelea
Na; Fred Cheti. Zoezi la uchukuaji wa fomu kwa ajili ya kugombea kiti cha uspika wa bunge la Tanzania unaendelea ambapo baadhi ya viongozi na watu mbalimbali wameendelea kujitokeza katika zoezi hilo . Ni Katika makao makuu ya chama cha…