Dodoma FM
shule
5 March 2024, 6:48 pm
Chihoni waomba serikali kuwasaidia ukarabati wa madarasa
Endapo Ukarabati wa madarasa hayo utafanyika utaweka miundombinu ya shule hiyo katika hali ya usalama kwa wanafunzi katika ujifunzaji. Na Mindi Joseph. Wanachi katika Mtaa wa Chihoni kata ya Nala wameiomba serikali kuwasaidia ukarabati wa madarasa 4 ya shule ya…
19 January 2022, 2:30 pm
Ujenzi wa madarasa wasaidia kupunguza mrudikano wa wanafunzi chemba
Na ;Benard Filbert. Ujenzi wa madarasa mapya yaliyojengwa kwa fedha za uviko 19 katika kata ya chemba wilayani Chemba imesaidia kupunguza mrundikano wa wanafunzi katika shule ya sekondari Chemba Hayo yameelezwa na diwani wa kata ya Chemba bwana Gadiel Lukumai…