Dodoma FM

shule

5 March 2024, 6:48 pm

Chihoni waomba serikali kuwasaidia ukarabati wa madarasa

Endapo Ukarabati wa madarasa hayo utafanyika utaweka miundombinu ya shule hiyo katika hali ya usalama kwa wanafunzi katika ujifunzaji. Na Mindi Joseph. Wanachi katika Mtaa wa Chihoni kata ya Nala wameiomba serikali kuwasaidia ukarabati wa madarasa 4 ya shule ya…