Dodoma FM

sheria mkononi

17 August 2021, 11:33 am

Jamii yaaswa kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi

Na; Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa watoto wasiopungua 10 wameuawa kutokana na kupigwa na kuchomwa moto ndani ya jiji la Dodoma katika kipindi cha miaka mitano iliyopita kitendo ambacho kinatajwa kuwa ni ukiukwaji wa haki za binadamu. Hayo yamebainishwa leo na…