Dodoma FM
sheria mkononi
20 October 2021, 11:14 am
Jamii imetakiwa kuripoti makosa ya jinai yanapotokea na si kujichukulia sheria m…
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kushirikiana na wasaidizi wa kisheria na serikali kuripoti makosa ya jinai yanapotokea kuliko kujichukulia sheria mkononi. Akizungumza na Dodoma fm kupitia kipindi cha Dodoma live msaidizi wa kisheria kutoka wilaya ya Bahi Daudi…
17 August 2021, 11:33 am
Jamii yaaswa kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi
Na; Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa watoto wasiopungua 10 wameuawa kutokana na kupigwa na kuchomwa moto ndani ya jiji la Dodoma katika kipindi cha miaka mitano iliyopita kitendo ambacho kinatajwa kuwa ni ukiukwaji wa haki za binadamu. Hayo yamebainishwa leo na…