Dodoma FM

sekondary

31 January 2024, 9:06 pm

Watoto wenye mahitaji maalum hawatakiwi kufichwa ndani

Shule ya msingi Dodoma Viziwi ni taasisi binafsi iliyoanzishwa mwaka 2005 ikiwa na jumla ya wanafunzi watano ambapo uandikishaji wa wanafunzi katika shule hiyo umezidi kuongezeka na katika mwaka huu 2024 imeandikisha jumla ya wanafunzi 22. Na Fed Cheti.Mkuu wa…

17 January 2024, 8:13 am

Upungufu wa walimu Chididimo wadidimiza elimu ya msingi

Ninini Mchakato wa serikali juu ya changamoto ya upungufu wa walimu katika shule hii. Na Thadei Tesha.Upungufu wa walimu katika shule ya msingi Chididimo iliyopo jijini Dodoma Imetajwa kama moja ya kikwazo kinacho sababisha wananfunzi kushindwa kusoma ipasavyo. Hini shule…

9 January 2024, 9:01 pm

Ndugai akerwa na wanafunzi wanaojifelisha darasa la saba

March 14 mwaka 2023 Halmashauri ya wilaya ya Kongwa kupitia kwa mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya hiyo white zuber ilitangaza kuanza kuwanunulia mahitaji yote ya msingi wanafunzi wenye wazazi wasiojiweza kiuchumi watakaofaulu na kuchaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza. Na…

27 December 2023, 5:48 pm

Wazazi watakiwa kuzingatia malezi ya watoto

kwa upande wake afisa elimu mkoa ameahidi kuyafanyia kazi yale yote waliyojadili katika kikao hicho. Na Aisha Alim.Wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha watoto wao wanakuwa katika maadili mema kwa kuwaepusha na mambo ambayo hayawezi kuwajenga vyema katika makuzi yao. Hayo…

23 December 2023, 4:35 pm

Wadau wa elimu wazungumzia mgawanyiko wa adhabu shuleni

Ni ufunguzi wa mradi wa kuondoa ukatili dhidi ya watoto walioko shuleni ambao unaratibiwa na  mtandao wa Elimu TEMNET . Na seleman Kodima. Wadau wa Elimu wamesema kuwa ipo haja ya uwepo wa mgawanyiko wa adhabu kulingana na makosa yanayotendwa…

20 December 2023, 2:31 pm

Jiji la Dodoma kutoa milioni 20 katika kituo jumuishi

Kongamano hilo la wadau wa Elimu jumuishi katika Mkoa wa Dodoma limewakutanisha watu mbalimbali wakiwemo maafisa elimu kata ,wazazi ,viongozi wa dini pamoja na wafadhili wa baadhi ya Miradi katika vituo jumuishi vilivyopo jijini hapa huku kauli mbiu katika kongamano…

18 December 2023, 9:20 pm

Bodaboda ni kundi lenye uhitaji mkubwa wa damu

Elimu ya usalama barabarani kwa Bodaboda bado inaendelea jijini Dodoma huku ikigusa mambo mbalimbali ikiwemo uchangiaji damu, huduma ya kwanza na jamii na tayari elimu hii imekwisha wafikia bodaboda takribani 180. Na Mariam Kasawa. Vijana wametakiwa kutambua kuwa usalama barabarani…