sekondary
31 January 2024, 9:06 pm
Watoto wenye mahitaji maalum hawatakiwi kufichwa ndani
Shule ya msingi Dodoma Viziwi ni taasisi binafsi iliyoanzishwa mwaka 2005 ikiwa na jumla ya wanafunzi watano ambapo uandikishaji wa wanafunzi katika shule hiyo umezidi kuongezeka na katika mwaka huu 2024 imeandikisha jumla ya wanafunzi 22. Na Fed Cheti.Mkuu wa…
29 January 2024, 8:59 pm
Serikali kuanza ujenzi wa chuo mahiri cha Tehama jijini Dodoma
Mradi huo unatarajia kuhusisha ujenzi wa vyuo viwili katika eneo la Nala jijini Dodoma Na mkoa wa kigoma. Na Thadei Tesha.Serikali kupitia Wizara ya habari na Teknolojia ya habari inatarajia kuanza ujenzi wa chuo mahiri cha Tehama katika eneo la…
23 January 2024, 8:44 pm
Wazazi, walezi watakiwa kuacha kushinikiza watoto kujifelisha mitihani
Hata hivyo changamoto hiyo imekuwa ni kubwa kwa baadhi ya wazazi kuwataka watoto wao kutofanya vizuri katika mitihani yao mwisho. Na Victor ChigwadaJamii imetakiwa kuachana na dhana potofu ya kuwakatisha watoto wao masomo kwa kuwawekea shinikio la kujifelisha mitahani yao…
17 January 2024, 8:13 am
Upungufu wa walimu Chididimo wadidimiza elimu ya msingi
Ninini Mchakato wa serikali juu ya changamoto ya upungufu wa walimu katika shule hii. Na Thadei Tesha.Upungufu wa walimu katika shule ya msingi Chididimo iliyopo jijini Dodoma Imetajwa kama moja ya kikwazo kinacho sababisha wananfunzi kushindwa kusoma ipasavyo. Hini shule…
9 January 2024, 9:01 pm
Ndugai akerwa na wanafunzi wanaojifelisha darasa la saba
March 14 mwaka 2023 Halmashauri ya wilaya ya Kongwa kupitia kwa mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya hiyo white zuber ilitangaza kuanza kuwanunulia mahitaji yote ya msingi wanafunzi wenye wazazi wasiojiweza kiuchumi watakaofaulu na kuchaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza. Na…
8 January 2024, 8:47 pm
Wanafunzi kidato cha kwanza kupokelewa shuleni bila kujali mapungufu ya mahitaji…
Mzazi anaweza kumpeleka mtoto hata kama hajakamilisha mahitaji yote ili aweze kuanza masomo wakati taratibu za kukamilisha mahitaji hayo zikiendelea. Na Fred Cheti.Wito umetolewa kwa wazazi na walezi kuhakikisha wanawapeleka shule wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza bila ya…
27 December 2023, 5:48 pm
Wazazi watakiwa kuzingatia malezi ya watoto
kwa upande wake afisa elimu mkoa ameahidi kuyafanyia kazi yale yote waliyojadili katika kikao hicho. Na Aisha Alim.Wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha watoto wao wanakuwa katika maadili mema kwa kuwaepusha na mambo ambayo hayawezi kuwajenga vyema katika makuzi yao. Hayo…
23 December 2023, 4:35 pm
Wadau wa elimu wazungumzia mgawanyiko wa adhabu shuleni
Ni ufunguzi wa mradi wa kuondoa ukatili dhidi ya watoto walioko shuleni ambao unaratibiwa na mtandao wa Elimu TEMNET . Na seleman Kodima. Wadau wa Elimu wamesema kuwa ipo haja ya uwepo wa mgawanyiko wa adhabu kulingana na makosa yanayotendwa…
20 December 2023, 2:31 pm
Jiji la Dodoma kutoa milioni 20 katika kituo jumuishi
Kongamano hilo la wadau wa Elimu jumuishi katika Mkoa wa Dodoma limewakutanisha watu mbalimbali wakiwemo maafisa elimu kata ,wazazi ,viongozi wa dini pamoja na wafadhili wa baadhi ya Miradi katika vituo jumuishi vilivyopo jijini hapa huku kauli mbiu katika kongamano…
18 December 2023, 9:20 pm
Bodaboda ni kundi lenye uhitaji mkubwa wa damu
Elimu ya usalama barabarani kwa Bodaboda bado inaendelea jijini Dodoma huku ikigusa mambo mbalimbali ikiwemo uchangiaji damu, huduma ya kwanza na jamii na tayari elimu hii imekwisha wafikia bodaboda takribani 180. Na Mariam Kasawa. Vijana wametakiwa kutambua kuwa usalama barabarani…