Dodoma FM

saratani

5 February 2024, 6:27 pm

Saratani ya mlango wa kizazi tishio kwa wanawake

Kila Februari 4 huwa ni maadhimisho ya Siku ya Saratani Duniani ambapo serikali imetoa rai kwa jamii kuchukua hatua za mapema kupima ugonjwa wa saratani, ambapo saratani ya mlango wa kizazi ni moja kati saratani zinazowapata akina mama. Na Yussuph…

18 January 2024, 8:44 am

Kongwa watakiwa kushiriki katika utunzaji wa mazingira

Zoezi la upandaji miti limehusisha kamati ya usalama ya Wilaya, Wakuu wa Divisheni na Vitengo, wananchi na watumishi ambapo Mhe. Mayeka alipanda mti kama ishara ya uzinduzi wa zoezi. Na Alfred Bulahya.Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka…

5 September 2023, 2:40 pm

Maji yakwamisha muitikio wa upandaji miti

Serikali pamoja na wadau mbalimbali wameendelea kuhamasisha jamii juu ya suala la upandaji wa miti ambapo kwa mujibu wa wataalam wanaeleza kuwa miti imekuwa na faida nyingi katika kutunza mazingira. Na Diana Masai. Pamoja najitihada mbalimbali za wadau wa mazingira…

28 July 2023, 1:11 pm

Wadau wa mazingira watakiwa kuanza kuandaa vitalu vya miti

Ama kweli penye nia pana njia haijalishi ni kianganzi ama masika lakini zoezi la upandaji miti limeendelea kufanyika. Na Mindi Joseph. Mkuu wa wilaya ya Dodoma Jabiri Shekimweri amewaomba wadau wa mazingira kuanza kuandaa vitalu vya upandaji miti kwa msimu…