Dodoma FM

Nkuhungu

10 May 2022, 3:57 pm

Serikali yatoa ruzuku kwaajili ya kupunguza bei ya mafuta

Na;Yussuph Hassan. Waziri wa Nishati, January Makamba amesema Serikali imetoa ruzuku ya Sh100 bilioni kwa ajili ya kupunguza bei ya mafuta nchini. Akiwasilisha taarifa ya serikali leo bungeni jijini Dodoma, Waziri wa Nishati, January Makamba amesema ruzuku hiyo inatolewa kwa…