Dodoma FM

Nkonko

10 January 2024, 12:04 am

Ajira katika umri Mdogo zinavyo kwamisha ndoto za mabinti

Kama mwajiri atatoa madai kwamba hakufahamu kwamba mtu aliyemuajiri ni mtoto wakati wa kumpa ajira au kudai kupewa taarifa zisizo sahihi watakua na wajibu wa kuthibitisha kua ilikua sahihi kwa wao au mtu mwingine yeyote mwenye akili timamu kuamini kwamba…

12 December 2023, 9:17 pm

Leo tunaangazia Wafanyakazi wa Nyumbani

Baadhi ya wafanyakazi wa Nyumbani wamekuwa hawana uhuru na vipato vyao. Na Mwandishi wetu. Kufuatia kuwepo kwa wimbo la baadhi ya waajiri na wazazi wa wafanyakazi wa nyumbani kutokuwapa uhuru wa kipato wafanyakazi wao baadhi ya wananchi wametoa maoni yao…

29 November 2023, 3:43 pm

Uhuru wa matumizi ya kipato kwa wafanyakazi wa majumbani

Na Mariam Matundu Leo tunazungumzia wafanyakazi wa majumbani, wanawezaje kuwa huru na matumizi ya kipato chao Mariam amefanya mazunguzo na katibu wa chama cha wafanyakazi za nyumbani Chodau mkoa wa Dodoma na Ameanza kumuuliza kwanini baadhi ya wafanyakazi hao wanakosa…

30 May 2023, 4:58 pm

Vijana walalamika kukosa mitaji ya kujiajiri

Pamoja na serikali kutenga mikopo ya 10% kwa ajili ya vijana , akina mama na walemavu, bado kuna ugumu katika kupata mikopo hiyo. Na Bernad Magawa Katika kuhakikisha kuwa vijana hapa nchini wanajitengenezea ajira wenyewe badala ya kusubiri kuajiriwa, baadhi…

24 May 2023, 6:05 pm

Wasomi washauriwa kutokuchagua kazi

Peter ametoa wito kwa vijana kupambana bila kuchagua kazi ilimradi iwe halali na isiyo na madhara kiafya. Na Bernad Magawa . Vijana wasomi wilayani Bahi mkoani Dodoma wameshauriwa kuacha kuchagua kazi za kufanya badala yake wajikite katika kutengeneza ajira binafsi…

9 May 2023, 2:07 pm

Vijana Bahi watakiwa kujiajiri

Mtaji wa kutosha kwaajili ya kuendesha kiwanda hicho unatajwa kuwa changamoto kwa vijana hao. Na Bernad Magawa Ili kupunguza tatizo la kukosekana kwa ajira za kutosheleza vijana wote wenye sifa za kuajiriwa hapa nchini, mafundi Seremala wilayani Bahi wamewaasa vijana…

9 March 2023, 3:46 pm

Madereva wa Bodaboda wahamasisha vijana kujiajiri

Madereva wa Bodaboda wilayani Bahi Mkoani Dodoma wamesema kazi wanayoifanya ni kazi rasmi na kuwahamasisha vijana wasio na ajira kuacha kukaa vijiweni bali watafute hata kazi ya bodaboda ili wajikimu kimaisha. Na Benard Magawa. Madereva wa Bodaboda wilayani Bahi Mkoani…

23 January 2023, 11:25 am

Bodaboda Bahi walalamika kuto nufaika na stendi

Na; Bernad Magawa . Madereva wa bodaboda wilayani Bahi Mkoani Dodoma wameelezea kutokunufaika na stendi ya mabasi wilayani humo . Hayo yamesema na Mwenyekiti wa madereva wa boda boda Wilaya ya Bahi Bw Mohamedi Mongoya mapema leo wakati akizungumza na…

29 April 2021, 6:00 am

Diwani Nkonko aahidi kuwasaidia vijana kupatiwa mkopo na halmashauri

Na; Seleman Kodima. Diwani wa kata ya Nkonko wilayani Manyoni Ezekiel Samwel amesema ataendelea kupambana na kuhakikisha Vijana katika kata yake  wanachangamka na  Kupata mkopo unaotolewa Halmashauri kwa kundi la   wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ili kujikwamua kiuchumi, kujiongezea…