Nishati
17 December 2021, 3:05 pm
Tanzania yatakiwa kuwa na sera madhubutu ya nishati jadidifu
Na ;Mindi Joseph. Jukwaa la wadau wa nishati endelevu limesema Tanzania inahitaji sera madhubutu ya nishati jadidifu nyenye nyezo za utekelezaji katika mageuzi ya matumizi ya nishati na kuongeza usalama na upatikanaji wa nishati Nchini. Mkurugenzi Mtendaji wa TaTEDO Eng.…
28 October 2021, 9:48 am
Wizara ya nishati imetakiwa kuhakikisha kunakuwepo na umeme wa kutosha ili kuwez…
Na; Shani Nicolous. Tanzania inatarajia kutengeneza ajira milioni 987 Kutokana na ubia muendelezo na makampuni ya Madini. Akizungumza na Taswira ya habari Waziri wa Madini Dotto Biteko amesema kuwa Tanzania inatarajia kutengeneza ajira milioni 987 na mapato ya Dola za…
4 October 2021, 2:34 pm
Umeme waathiri upatikanaji wa maji Membe.
Na; Benard Filbert. Kuchelewa kuwashwa kwa nishati ya umeme wa tanesco katika kata ya Membe wilayani Chamwino imetajwa kuathiri upatikanaji wa huduma ya maji kwa wakazi wa kata hiyo. Hayo yameelezwa na diwani wa kata ya Membe bwana Simon Macheo…
19 August 2021, 1:31 pm
Wakazi wa Kawawa waiomba serikali kuwapelekea huduma ya umeme
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Kawawa Kata ya Msanga Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuwasaidia kufikisha huduma ya umeme katika Kijiji hicho ili wananchi waweze kwenda na wakati. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema…
6 August 2021, 12:11 pm
Jamii yatakiwa kutumia teknolojia za kisasa katika mapishi nyumbani ili kuepusha…
Na; Benard Filbert. Jamii inashauriwa kutumia teknolojia za kisasa katika matumizi ya kupika nyumbani na kuepuka kuharibu mazingira kitu ambacho ni hatari katika mabadiliko ya tabia ya Nchi. Hayo yameelezwa na Marry Stanley kutokea taasisi ya Tanzania Traditional Energy Development…
27 May 2021, 1:08 pm
Kata ya Nzuguni washangilia Neema ya umeme kupitia mradi wa REA
Na ;Victor Chigwada Wakazi wa mtaa wa Nzuguni A Jijini Dodoma wamepata matumaini ya kupata huduma ya nishati ya umeme baada ya zoezi la usambazaji nguzo kupitia mradi wa REA kuanza katika eneo hilo. Baadhi ya wakazi wa eneo hilo…
22 April 2021, 10:56 am
Chidilo walalamika kukosa huduma zitokanazo na nishati ya umeme.
Na; Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa huduma ya umeme katika Kijiji cha Chidilo Kata ya Mpalanga Wilayani Bahi kumechangia kwa kiasi kikubwa kakosekana kwa huduma nyingine zinazotegemea nishati hiyo. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wananchi wa Kijiji hicho wakati…
12 April 2021, 12:48 pm
Wananchi changamkieni fursa , Bomba la mafuta la hoima
Na; Mariam Matundu. Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani amewataka wananchi kujitokeza kuchangamkia fursa ambazo zitajitokeza Katika Hatua zote za Utekelezaji wa Ujenzi wa Mradi wa kimkakati wa Bomba la Mafuta la hoima Mpaka Tanga ambao unaanza Mwezi huu .…
9 April 2021, 9:59 am
Vijiji vyote kupatiwa umeme katika awamu ya tatu ya REA
Na; Yussuph Hans. Serikali imesema inawahakikishia Wananchi wa maeneo yote ya Vijijini yaliyokuwa hayajapata Umeme katika awamu zilizopita kuwa, yatapata Umeme katika awamu ya Tatu ya mzunguko huu wa pili wa REA . Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na…
6 April 2021, 12:36 pm
Wakazi wa Matumbulu wapata neema ya umeme
Na; Benald Flbert Baada ya hivi karibuni Dodoma fm kuripoti taarifa kuhusu ukosefu wa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo ya Kata ya Matumburu, shirika la umeme TANESCOMkoa wa Dodoma limeanza kusambaza nguzo kwa ajili ya kuwaunganishia huduma hiyo.…