Dodoma FM

Nafasi ya wanawake

31 January 2024, 7:59 am

Wakulima wapatiwa elimu ya kukabiliana na mvua nyingi

Mifugo na baadhi ya mazao hutegemea ufanisi wa wataalamu hususani inapokuja mabadiliko ya hali hewa hivyo ni vyema kufuata ushauri wataalamu wa kilimo pamoja na mifugo. Na Victor Chigwada .Wakulima na wafugaji wa kata ya Handali wilaya ya Chamwino wameendelea…

6 December 2023, 12:56 pm

Zifahamu hatua za kilimo cha zabibu

Kwa nini zao la zabibu hustawi zaidi katika eneo la mkoa wa Dodoma na si maeneo mengine? Na Yussuph Hassan. Baada ya kufahamu kwa undani aina za zabibu nchi zilizotoka na njia zilizotumika pamoja na utafiti kwanini mkoa wa dodoma…

29 November 2023, 3:21 pm

Historia ya kilimo cha Zabibu

Dodoma ndio mkoa pekee unaolima Zabibu kwa wingi nchini Tanzania na hata kwa afrika mashariki ndio mkoa wenye utajiri mkubwa wa zao hili. Na Yussuph Hassan. Kilimo cha Zabibu mkoani Dodoma kina historia ndefu, ambapo kwenye miaka ya 1950 na…

27 November 2023, 12:42 pm

Wizara ya kilimo yafanya tathmini utoshelevu wa chakula nchini

Amesema moja ya changamoto inayokwamisha upatikanaji wa masoko ya uhakika nje ya nchi ni kukosekana kwa tija hii inasababishwa na kutokidhi viwango vinavyotakiwa kuanzia kweye ubora,wingi,mabadiliko ya bei sokoni na kuhakikisha kuwa muda wote tunasambaza bidhaa masokoni. Na Alfred Bulahya.…

31 October 2023, 11:49 am

Wakulima Wagomea mbolea ya Ruzuku

Na Mindi Joseph. Baadhi ya wakulima wa kijiji cha Chinangali 2 Mkoani Dodoma wamegoma Kujisajili kuchukua mbolea za ruzuku zinazotolewa na Serikali kutokana na kile wanachodai zinaua Mashamba yao. Hayo yamebainika baada ya Dodoma Tv kufika eneo hilo na kuzungumza…

31 October 2023, 11:21 am

Wakulima wa mpunga Bahi wailalamikia tume ya umwagiliaji

Wakulima hao wanasema pamoja na kufuatilia kwa muda mrefu, bado tume ya umwagiliaji  haijaonyesha ushirikiano katika kutatua kero hiyo. Na.  Bernad Magawa Wakulima wa mpunga wilayani Bahi Wameilalamikia tume ya umwagiliaji kwa kushindwa kuwarekebishia miundombinu ya kilimo kwa miaka miwili…

18 October 2023, 9:29 am

FAO yaahidi kuunga mkono juhudi za Tanzania

Mkutano huo ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka nchi wanachama, viongozi wakuu wa mashirika ya Umoja wa Mataifa. Na Mindi Joseph. Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa amesema Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) limeahidi kuunga mkono jitihada za…

9 October 2023, 9:27 am

Vijana watakiwa kutambua umuhimu wa sekta ya kilimo

Taasisi ya kuboresha Mifumo ya Masoko ya Kilimo Tanzania AMDT Leo imewakutanisha Wadau mbalimbali kutoka sekta ya Umma, wawakilishi kutoka mashirika mbalimbali na vijana katika Mdahalo wa kuibua changamoto zinazowakabili vijana ili kupata majibu sahihi. Na Mariam Kasawa. Vijana wametakiwa…