Dodoma FM

Mnadani

18 January 2024, 9:23 am

Wakulima wakosa elimu ya upimaji wa Udongo

Kata ya Handali ni wananchi 5 pekee ndio waliweza kukamilisha zoezi la upimaji udongo wa mashamba yao licha ya kipimo hicho kufanyika bure bila malipo katika ofisi za Wilaya ya Chamwino. Na Victor Chigwada. Imeeezwa kuwa wakulima wengi wamekosa elimu…

28 November 2023, 6:00 pm

Waziri Mkuu atoa Tamko mradi uboreshaji milki za Ardhi

Mradi huu unatekelezwa  katika kipindi cha miaka mitano (5) na una vipengele vinne (4) ambavyo ni Kuongeza  Usalama wa Milki; Kuimarisha Mifumo ya Taarifa za Ardhi; Kujenga Miundombinu ya  Ardhi na Usimamizi wa Mradi. Na Seleman Kodima. Wakurugenzi wa Halmashaurii…

18 October 2023, 9:48 am

Wakazi wa Nholi waaswa kuepuka migogoro ya ardhi

Kupitia zoezi la urasimishaji wa ardhi nchini itasaidia kutoa hati ya umiliki wa vipande vya ardhi na kupunguza changamoto za kugombania na mashamba. Na Victor  Chigwada.                                                       Wito umetolewa kwa wananchi wa kijiji cha Nholi kuepukana na migogoro ya ardhi…

4 September 2023, 4:09 pm

Kigoma Ujiji kupima, kusajili makazi 10,000 katika mitaa 25

Mradi huu umelenga kuboresha usalama wa milki za ardhi kwa kupanga, kupima na kusajili milki za ardhi zipatazo milioni 2.5 zinazojumuisha hatimilki 1,000,000 na Leseni za Makazi 1,000,000 katika maeneo ya mijini na Hati za Hakimilki za Kimila 500,000 vijijini.…

28 August 2023, 10:13 am

Milki 60,000 kusajiliwa Kigoma na Chalinze

Kati ya Mwezi Julai 2023 hadi Agosti 2023 zaidi ya makazi 3,000 (Manispaa ya Kigoma Ujiji) na makazi 5,000 (Halmashauri ya Chalinze) yametambuliwa na kupangwa. Na Seleman Kodima. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Mradi wa Uboreshaji…