

24 May 2023, 7:49 pm
Pamoja na sababu hizo wafayabiahara hao wanasema kuwa ni vyema serikali kuendelea kuboresha mazingira ikiwa ni pamoja na kuruhusu mabasi kuingia ndani ya kituo hicho ili waweze kupata wateja. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara katika kituo cha mabasi cha…