Dodoma FM
mkopo
16 August 2021, 1:44 pm
Wakazi Mkoani Dodoma walalamikia kukosa taarifa juu ya mikopo ya asilimia kumi
Na;Yussuph Hans. Wakazi mkoani Dodoma wamelalamikia kukosa taarifa juu fursa ya mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na kila halmashauri nchini kwa vikundi vilivyosajiliwa vya vijana, wanawake na Watu wenye ulemavu. Wakizungumza na kitu hiki wakazi hao wamesema kuwa wanapata changamoto…