Miundombinu
26 January 2022, 4:16 pm
Wakazi wa Nzuguni waiomba Serikali iwaboreshee barabara
Na; Neema Shirima. Baadhi ya wananchi katika Kata ya Nzuguni jijini Dodoma wameiomba Serikali iwaboreshee miundombinu ya barabara pamoja na daraja katika mto unaotenganisha Nzuguni A na B ambapo umekuwa changamoto wakati wa mvua. Wakizungumza na Taswira ya habari wananchi…
13 January 2022, 2:44 pm
Wakazi wa Mlowa bwawani waipongeza serikali kwa kufanya ukarabati wa barabara
Na; Benard Filbert. Wakazi wa kata ya Mlowa Bwawani wameipongeza serikali kwa kufanya ukarabati wa baadhi ya barabara katika kata hiyo. Hayo yameelezwa na wakazi wa kata hiyo wakati wakizungumza na taswira ya habari kuhusu hali ya barabara katika kata…
18 October 2021, 11:55 am
Wakazi wa kata ya Handali waaswa kuepuka kupitisha mifugo barabarani
Na; Benard Filbert. Wakazi wa kata ya Handali wilaya ya Chwamwino mkoani Dodoma wameombwa kuepuka kupitisha mifugo kwenye barabara kuepuka uharibifu ambao umekuwa ukitokea. Hayo yanajiri kufuatia hivi karibuni kukamilika kwa marekebisho ya barabara za ndani katika kata hiyo.Akizungumza na…
20 August 2021, 12:42 pm
Msamalo wamshukuru waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani
Na; Selemani Kodima . Uongozi wa kata ya Msamalo wilayani Chamwino umetoa shukrani kwa Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani kwa jitahada kubwa ambazo zimeendelea kufanywa kuhakikisha vijijiji vinavyopatikana katika kata hiyo vinapata huduma ya Umeme. Hayo yamesemwa na…
22 June 2021, 1:46 pm
Wakazi wa kata ya kikombo waiomba serikali kumalizia mradi wa umeme ulionza tang…
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Kikombo jijini Dodoma wameiomba Serikali kuwakamilishia mradi wa umeme ambao ulianza tangu mwaka 2018 kwa kuwa baadhi ya maeneo bado hayajafikiwa na huduma hiyo. Baadhi ya wananchi hao wakiwemo wa Mtaa wa Chololo…
4 June 2021, 1:53 pm
Wananchi wa eneo la stendi kuu jijini Dodoma wameomba Serikali kuwawekea alama z…
Na, Victor Chigwada. Wananchi wanaotumia kituo kikuu cha mabasi Dodoma pamoja na Soko kuu la Job Ndugai wameiomba Serikali kuwawekea kivuko cha juu pamoja na alama za barabarani kwenye eneo hilo ili kuepusha ajali. Wakizungumza na Dododma Fm baadhi ya…
1 June 2021, 2:10 pm
Serikali imeongeza bajeti ya fedha kwaaji ya wakala wa barabara za mjini na viji…
Na;Yussuph Hans. Serikali imeongeza bajeti kwa Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini TARURA kwa mwaka wa fedha 2021/22 kwa ajili ya matengenezo ya Barabara maeneo mbalimbali Nchini. Hayo yamebainishwa leo bungeni na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za…
24 May 2021, 11:58 am
Ubovu wa barabara Matumbulu wakwamisha zoezi la kuweka nguzo za umeme
Na; Benard Filbert. Kata ya Matumbulu jijini Dodoma inakabiliwa na ubovu wa barabara katika baadhi ya maeneo yake hali inayochelewesha zoezi la uwekaji nguzo za umeme. Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa mtaa wa Mkombozi Bw. Haruni Nyakapara wakati akizungumza na…
17 May 2021, 11:56 am
Miundombinu mibovu chanzo cha ugumu wa safari Kikuyu kaskazini
Na; Shani Nicolous Wakazi wa kata ya Kikuyu kaskazini jijini Dodoma wamelalamikia ubovu wa miundombinu ya barabara katika Kata hiyo hali inayosababisha ugumu wa usafiri hasa msimu wa mvua wa mvua. Wakizungumza na Dodoma fm wakazi hao wamesema kuwa ni…
10 May 2021, 10:27 am
Wakazi wa kata ya Mpalanga walalamikia uchache wa miundombinu ya maji safi na sa…
Na; Victor Chigwada. Changamoto ya upatikanaji wa maji imekuwa tatizo kubwa katika baadhi ya vijiji hali inayo pelekea wakazi wa maeneo hayo kutumia muda mwingi katika utafutaji wa maji. Taswira ya habari ilitembelea Kata ya Mpalanga Wilaya ya Bahi katika…