Dodoma FM

Miundombinu

26 January 2022, 4:16 pm

Wakazi wa Nzuguni waiomba Serikali iwaboreshee barabara

Na; Neema Shirima. Baadhi ya wananchi katika Kata ya Nzuguni  jijini Dodoma wameiomba Serikali iwaboreshee miundombinu ya barabara pamoja na daraja katika mto unaotenganisha Nzuguni A na B ambapo umekuwa changamoto wakati wa mvua. Wakizungumza na Taswira ya habari wananchi…

20 August 2021, 12:42 pm

Msamalo wamshukuru waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani

Na; Selemani Kodima . Uongozi wa kata ya Msamalo wilayani Chamwino umetoa shukrani kwa Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani kwa jitahada kubwa ambazo zimeendelea kufanywa kuhakikisha vijijiji vinavyopatikana katika kata hiyo vinapata huduma ya Umeme. Hayo yamesemwa na…