miradi ya maji
20 November 2023, 7:38 pm
Kulaya: Bado tunaangazia miswada ya sheria iliyowasilishwa bungeni
Kumbuka kuwa miswada hiyo ni pamoja na wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023, muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wa mwaka 2023 na muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria za Vyama vya…
19 November 2023, 12:22 pm
Ushirikiano wa wenza katika kumiliki mali
Na Leonard Mwacha. Hii leo tunaangazia umuhimu wa wenza kushirikiana katika umiliki wa mali. Mwenzetu Leonard Mwacha amefanya mazungumzo na mwanasheria na ameanza kumuuliza hali ikoje kwa wanawake kushirikishwa katika umiliki wa mali wa pamoja na wenza wao.
16 August 2023, 1:53 pm
Usawa kijinsia sio kukandamiza kundi fulani
Kikao kazi hicho cha siku moja, kinapokea taarifa za utekelezaji wa sekta na wadau kuhusu usawa wa kijinsia kwa kipindi Januari hadi Juni, 2023. Na WMJJWM, Dodoma Katibu Mkuu, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt…
16 July 2021, 12:48 pm
Wakazi Wilayani Chamwino watakiwa kutunza na kusimamia miradi ya maji
Na; Benard Filbert. Wakazi katika wilaya ya Chamwino wametakiwa kutunza na kuisimamia miradi ya maji ambayo imekuwa ikiratibiwa na wakala wa huduma za maji vijijini RUWASA ili kuepusha changamoto ya upatikanaji wa huduma hiyo. Hayo yameelezwa na meneja wa RUWASA…