Mifugo
4 November 2021, 12:32 pm
Ukosefu wa elimu wapelekea wafugaji kushindwa kupata faida ya mazao ya mifugo ya…
Na ;Thadei Tesha. Wito umetolewa kwa taasisi mbalimbali zinazohusika na kutoa elimu juu ya kuwapa wafugaji elimu ya njia bora za ufugaji kuwa na utaratibu wakuwatembelea wafugaji hususani vijijini. Taswira ya habari umefanya mahojiano na baadhi ya wafugaji jijini hapa…
2 September 2021, 8:22 am
Walio sababisha maradhi ya chanjo kwa mifugo wasakwa
Na. Edward Kondela Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki ameagiza kutafutwa mara moja kwa wataalamu wa mifugo waliotoa chanjo ya mifugo katika Kijiji cha Mlazo Kilichopo Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma, na kusababisha baadhi ya mifugo kufa na…
2 March 2021, 1:25 pm
Ole Gabriel:Elimu juu ya thamani ya mazao ya mifugo bado tatizo
Na, Mariamu Matundu, Dodoma. Serikali imesema licha ya kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa minyororo mitano ya thamani ya mazao ya mifugo, bado Jamii imeendelea kupata changamato katika mnyororo wa mtaji watu pamoja na gharama. Hayo yamesemwa na katibu…