Dodoma FM
mgogoro
3 March 2022, 2:11 pm
Mgogoro kati ya Urusi na Ukraine watajwa kuleta athari za kiuchumi
Na; Benard Filbert. Mgogoro unaoendelea hivi sasa kati ya Urusi na Ukraine umetajwa kuleta athari kubwa za kiuchumi barani Afrika ikiwepo kupanda kwa bei ya nishati ya mafuta. Hayo yameelezwa na Profesa Enock Wiketie mchambuzi wa masuala ya uchumi kutoka…