Dodoma FM

mashamba ya shule

23 June 2022, 2:33 pm

Serikali yaombwa kufanyia mabadiliko sheria ya mtandao

Na;Mindi Joseph . Serikali imeombwa kufanya mabadiliko katika sheria ya Mtandao ambayo imetajwa kuwa na mapungufu na kuchangia watu kuchapisha na kutuma taarifa za watu mtandaoni pasipo kuwa na idhini ya wahusika. Taswira ya habari imezungumza na Mwanasheria kutoka Taasisi…