Dodoma FM

makala

27 April 2021, 6:22 am

Nagulo Bahi Zahanati bado kizungumkuti

Na; Seleman Kodima. wakazi wa Nagulo Bahi wamelalamikia kukosa huduma ya Afya kijijini hapo hali inayopelekea kutembea umbali mrefu kwenda kutafuta huduma ya Afya. Wananchi hao wameelezea jinsi walivyo jitahidi kufanya juhudi ili wapate kituo cha Afya kijijini hapo lakini…