Maji
20 March 2024, 6:18 pm
Adha ya maji yendelea kuwa kero kwa baadhi ya Vitongoji Chiwona
Hayo yamefahamika baada ya Taswira ya habari kushuhudia adha hiyo ambayo imechangia wananchi kuendelea kutumia maji yasio safi na salama. Na Seleman Kodima.Adha ya kukosekana kwa maji safi na salama kwa baadhi ya Vitongoji vya kijiji cha Chiwona imesababisha wananchi…
16 February 2024, 4:33 pm
Maji safi mwarobaini wa kupambana na magonjwa ya mlipuko
Kwa mujibu wa shirika la Afya Duniani katika ripoti yake ya mwaka 2015 Asilimia (81%) ya watu wanaokunywa maji ambayo si salama na huishi katika maeneo ya vijijini pamoja na kwenye makazi holela. Na Mindi Joseph. Upatikanaji wa huduma ya…
15 February 2024, 4:27 pm
Wajawazito Handali walazimika kwenda leba na maji
Pamoja na hatua hizo za kwenda na maji kituo cha afya lakini bado wanakutana na shuruba nyingine namna ya kupata maji hayo bombani. Na Victor Chigwada.Pamoja na umuhimu wa matumizi ya maji katika sehemu za kutolea huduma za afya imekuwa…
11 April 2022, 3:32 pm
Wakazi wa Dodoma watakiwa kutoa ushirikiano ili kumaliza changamoto ya maji
Na; Shani Nicolous. Wanachi wa mkoa wa Dodoma pamoja na wadau wote wa maji wametakiwa kuendeleza ushirikiano na mamalaka ya maji safi na usafi wa mazingira Duwasa ili kufikia lengo la kumaliza changamoto ya maji. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi mtendaji…
1 April 2022, 2:17 pm
Wakazi Jijini Dodoma watakiwa kuwa waadilifu juu ya matumizi ya maji
Na;Yussuph Hassan. Wakazi Jijini Dodoma wameshauriwa kuwa waadilifu katika matumizi ya Maji na kutoa taarifa panapotokea changamoto yoyote ya upatikanaji wa huduma hiyo. Ushauri huo umetolewa na Meneja Ufundi wa Duwasa Emmanuel Mwakabore wakati akizungumza na kituo hiki kufatia kuwepo…
10 March 2022, 3:46 pm
Wakazi wa mtaa wa Chang’ombe Ihumwa walalamikia kukosa huduma ya maji
Na; Neema Shirima. Baadhi ya wananchi wa mtaa wa Chang’ombe kata ya Ihumwa jijini Dodoma wameelezea changamoto zao ikiwa ni pamoja na ukosefu wa maji safi na salama katika eneo hilo Wamesema ukosefu wa maji safi na salama unawalazimu kutumia…
1 March 2022, 3:53 pm
Wakazi wa Mkoka waiomba serikali kukamilisha mradi wa maji
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa kata ya Mkoka Wilaya ya kongwa wameiomba Serikali kukamilisha miradi ya maji safi ili waweze kuondokana na changamoto hiyo ya muda mrefu Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema ukosefu wa maji…
19 January 2022, 3:10 pm
Wakazi wa Ihumwa walalamikia ukosefu wa maji safi na salama
Na; Neema Shirima. Baadhi ya wananchi wa mtaa wa Chang’ombe kata ya Ihumwa jijini Dodoma wameelezea changamoto ya ukosefu wa maji safi na salama katika eneo hilo Wamesema ukosefu wa maji safi na salama unawalazimu kutumia maji ya visima ambayo…
16 December 2021, 2:22 pm
Wakazi wa Nzinje waiomba DUWASA kuwatatulia kero ya maji
Na;Mindi joseph . Wakazi wa mtaa wa Nzinje jijini Dodoma wameiomba Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira DUWASA kuwasaidia kutatua changamoto ya maji inayowakabili kwa muda mrefu. Wakizungumza na Dodoma Fm baadhi ya wananchi hao wanasema kutokana na…
2 November 2021, 11:16 am
Wakazi wa Babayu waiomba serikali kuwapelekea huduma ya maji safi na salama
Na;Mariam matundu . Wakazi wa kijiji cha Babayu wilayani Chemba wameiomba serikali kuwaletea huduma ya maji safi ili kupunguza adha wanayokutana nayo katika kutafuta maji umbali mrefu. Baadhi ya wakazi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema wamekuwa wakitumia zaidi…