Dodoma FM

maji taka

3 April 2024, 6:13 pm

DUWASA yaendelea na ukaguzi miundominu ya maji taka

Katika zoezi hilo DUWASA imebaini kuzidiwa na miundombinu ya majitaka eneo la Makole. Na Seleman Kodima.Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imeendelea na zoezi la ukaguzi wa miundombinu ya majitaka katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dodoma…

24 January 2024, 10:17 pm

Wafanyabishara sabasaba wafurahia mazingira ya soko

Soko la Sabasaba ni miongoni mwa masoko makubwa yaliyopo Jijini Dodoma ambayo ni maarufu kwa uuzwaji wa bidhaa mbalimbali ikiwemo mbogamboga matunda na mavazi. Na Thadei Tesha.Wafanyabiahara wa soko la sabasaba Jijini Dodoma Wameelezea kufurahishwa na hali ya mazingira ya…

30 June 2023, 5:02 pm

Dodoma: Wafanyabiashara waomba kuboreshewa mazingira

Katika eneo hilo zipo daladala zinazoelekea maeneo mbalimbali nje ya jiji ikiwemo Mpunguzi ambapo pia wapo baadhi ya akina mama na wafanyabiashara wadogo wanaojishughulisha na biashara katika eneo hili ingawa hali ya upatikanaji wa wateja sio ya kuridhisha. Na Thadei…

2 May 2023, 3:49 pm

Wakazi wa Msalato waomba mazingira ya mnada kuboreshwa

Mnada wa nyama msalato ni miongoni ma maeneo maarufu ya asili ambapo wananchi hufika kwa ajili ya kujipatia nyama choma . Na Thadei Tesha. Wakazi wa Msalato Jijini Dodoma wameiomba serikali  kuboresha mazingira ya  eneo la mnada wa msalato ambao…

3 April 2023, 5:43 pm

Serikali yendelea kuhamasisha utunzaji wa mazingira

Serikali kwa kushirikiana na wadau wengine wa mazingira imekuwa ikiiendeleea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa utunzaji wa mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Na Fred Cheti. Serikali imekuwa ikihamasisha makundi mbalimbali katika jamii kushiriki katika utunzaji wa…

11 January 2023, 2:14 pm

Chamwino wajadili mustakabali wa utunzaji Mazingira

Na; Mariam Kasawa. Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Pamoja na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Chamwino jana amekutana na Wadau wa Mazingira, watendaji wa Kata, Viongozi wa Taasisi za Umma na Wahe. Madiwani kwa ajili ya kujadili masuala mbali mbali…

29 June 2022, 2:34 pm

Hali ngumu ya maisha yachangia uharibifu wa mazingira

Na; Victor Chigwada. Hali ngumu ya maisha imetajwa kuwa  sababu ya watu kuendelea kuharibu mazingira ikiwa Ni pamoja na ukataji wa misitu ovyo hususani maeneo ya milimani na vijijini Diwani wa Kata ya Chipanga Bw.Masumbuko Aloyce amekiri kuwa changamoto kubwa…