mafanikio
4 December 2023, 3:57 pm
Watu wenye ulemavu watakiwa kuripoti vitendo vya ubaguzi ili haki itendeke
Maadhimisho ya Siku ya Watu Wenye Ulemavu huadhimishwa kila ifikapo Desemba 3 ambapo kaulimbiu ya mwaka huu ni “Tuungane kuchukua hatua katika kutoa huduma ili kuyafikia malengo ya maendeleo endelevu kwa watu wenye ulemavu” Na Victor Chigwada. Watu wenye ulemavu…
24 April 2023, 4:28 pm
Watu wenye ulemavu wametakiwa kuchangamkia fursa
Kwa Sasa serikali imekuwa ikitoa fursa nyingi ambazo watu wenye ulemavu wanahaki ya kushiriki na kuwataka kuchangamkia kila fursa inayotolewa ikiwemo mikopo ya asilimia 10 ya halamshauri ambayo kundi hilo litapata asilimia 2 . Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa…
7 December 2022, 11:41 am
Kiti mwenzo chamuwezesha Agness kurudisha tabasamu.
Na; Mariam Matundu. Familia ya mtoto Agnesi inayoishi kata ya makang’wa wilayani chamwino imerejesha matumaini baada ya diwani wa viti maalumu kumsaidia binti yao kiti mwenzo kinachomuwezesha kufika shule . .
27 April 2021, 10:00 am
Changamoto ya Madawati shule ya sekondary Wotta yatatuliwa
Na; Seleman Kodima Wakazi wa kata ya Wotta wilayani Mpwapwa wameishukuru Dodoma fm redio kwa Juhudi ya kubwa walizofanikisha kuripoti tatizo la uhaba wa madawati ktika shule ya sekondari na hatimaye Changamoto hiyo kufanyiwa kazi . Hayo yamejiri baada ya…