Dodoma FM

mafanikio

24 April 2023, 4:28 pm

Watu wenye ulemavu wametakiwa kuchangamkia fursa

Kwa Sasa serikali imekuwa ikitoa fursa nyingi ambazo watu wenye ulemavu wanahaki ya kushiriki na kuwataka kuchangamkia kila fursa inayotolewa ikiwemo mikopo ya asilimia 10 ya  halamshauri ambayo kundi hilo litapata asilimia 2 . Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa…

27 April 2021, 10:00 am

Changamoto ya Madawati shule ya sekondary Wotta yatatuliwa

Na; Seleman Kodima Wakazi wa kata ya Wotta  wilayani Mpwapwa wameishukuru  Dodoma fm redio kwa Juhudi ya  kubwa walizofanikisha kuripoti tatizo la uhaba wa madawati ktika shule ya sekondari  na hatimaye Changamoto hiyo kufanyiwa kazi . Hayo yamejiri baada ya…