Dodoma FM

machinga

31 January 2024, 8:14 pm

Jaji Mkuu aibua hoja kukabiliana na uharifu nchini

Kongamano hilo limeandaliwa na Mahakama ya Tanzania kupitia chuo cha uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) . Na Mindi Joseph.Jaji mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma leo amefungua kongamano la siku moja la kujadili masuala ya makosa ya uharifu jijini Dodoma.…

11 January 2024, 6:58 pm

Washiriki 1,707 wajiandikisha kushiriki utoaji maoni

Baada ya hapo, kamati hiyo itachambua maoni hayo yaliyopokewa. Na Seleman Kodima.Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Joseph Mhagama amesema jumla ya washiriki 1,707 wamejiandikisha kwenye ushiriki wa utoaji maoni. Pia, taasisi za kidini,…

4 January 2024, 5:09 pm

Viongozi watakiwa kuzingatia sheria za maadili ya umma

Hayo yamesemwa na Alfred Mboya Afisa maadili kutoka secretariete ya maadili ya viongozi wa umma wakati akifanya mahojiano na Dodoma Tv. Na Aisha Alim.Viongozi wa umma wametakiwa kuzingatia sheria za maadili ya viongozi katika Taasisi zao ili wawe mfano wakuigwa…

30 October 2023, 2:09 pm

Bahi Sokoni waanza utaratibu wa kusoma mapato na matumizi

kupitia  mkutano huo elimu mbalimbali zilitolewa ikiwemo suala la ukatili wa kijinsia. Na. Bernad Magawa. Kijiji cha Bahi Sokoni wilayani Bahi kimeanza kutekeleza kwa vitendo agizo la Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Bahi Zaina Mlawa alilolitoa  hivi karibuni…

28 July 2023, 2:41 pm

Bodi mpya yatakiwa kusimamia kanuni, taratibu

Pia amesema wana jukumu la kuishauri wizara kujua ni namna gani Wakala wa Vipimo iboreshe utendaji kazi wake. Na Seleman Kodima. Waziri wa Viwanda na Bashara Mhe. Dkt Ashatu Kijaji  amewataka wajumbe  wapya wa bodi ya sita ya ushauri ya…

3 March 2023, 10:42 am

JKT yatarajia kuadhimisha miaka 60 ya kuasisiwa kwake

Madhimisho hayo ya miaka 60 ya kuasisi kwa Jeshi la Kujenga Taifa Jkt Tanzania yatafanyika uwanja wa jamhuri jijini Dodoma ambapo yamebeba kauli mbiu isemayo Malezi ya Vijana ,uzalishaji mali na Ulinzi kwa ustawi wa Taifa. Na Seleman Kodima Jeshi…