machinga
31 January 2024, 8:14 pm
Jaji Mkuu aibua hoja kukabiliana na uharifu nchini
Kongamano hilo limeandaliwa na Mahakama ya Tanzania kupitia chuo cha uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) . Na Mindi Joseph.Jaji mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma leo amefungua kongamano la siku moja la kujadili masuala ya makosa ya uharifu jijini Dodoma.…
23 January 2024, 7:32 pm
Wananchi watakiwa kufahamu sheria za utatuzi wa migogoro
Maonesho ya wiki ya sheria yanatarajia kuanza kesho januari 24 jijini dodoma na ufunguzi huo utafanywa na Spika wa bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Akson huku kilele chake kikiwa januari 31 na mgeni Rasmi akitarajiwa kuwa…
11 January 2024, 6:58 pm
Washiriki 1,707 wajiandikisha kushiriki utoaji maoni
Baada ya hapo, kamati hiyo itachambua maoni hayo yaliyopokewa. Na Seleman Kodima.Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Joseph Mhagama amesema jumla ya washiriki 1,707 wamejiandikisha kwenye ushiriki wa utoaji maoni. Pia, taasisi za kidini,…
4 January 2024, 5:09 pm
Viongozi watakiwa kuzingatia sheria za maadili ya umma
Hayo yamesemwa na Alfred Mboya Afisa maadili kutoka secretariete ya maadili ya viongozi wa umma wakati akifanya mahojiano na Dodoma Tv. Na Aisha Alim.Viongozi wa umma wametakiwa kuzingatia sheria za maadili ya viongozi katika Taasisi zao ili wawe mfano wakuigwa…
30 October 2023, 2:09 pm
Bahi Sokoni waanza utaratibu wa kusoma mapato na matumizi
kupitia mkutano huo elimu mbalimbali zilitolewa ikiwemo suala la ukatili wa kijinsia. Na. Bernad Magawa. Kijiji cha Bahi Sokoni wilayani Bahi kimeanza kutekeleza kwa vitendo agizo la Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Bahi Zaina Mlawa alilolitoa hivi karibuni…
28 August 2023, 12:30 pm
Wananchi wafunguka kufuatia kauli ya Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ)
Ikumbukwe kuwa, Sheria ya Usalama wa Taifa ya Mwaka 1970 kifungu cha 6, inakataza mtu yeyote ambaye hatumikii Majeshi ya Ulinzi na Usalama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wala jeshi lolote lililowekwa kwa mujibu wa sheria kuvaa vazi rasmi…
28 July 2023, 2:41 pm
Bodi mpya yatakiwa kusimamia kanuni, taratibu
Pia amesema wana jukumu la kuishauri wizara kujua ni namna gani Wakala wa Vipimo iboreshe utendaji kazi wake. Na Seleman Kodima. Waziri wa Viwanda na Bashara Mhe. Dkt Ashatu Kijaji amewataka wajumbe wapya wa bodi ya sita ya ushauri ya…
19 May 2023, 4:38 pm
Asilimia 92 ya watumiaji wa mahakama nchini waridhishwa na huduma
Wafanyakazi wa mahakama wamejipambanua kwa kufanikisha na kusongeza huduma za utoaji haki karibu na wananchi. Na Mindi Joseph. Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma amesema Asilimia 92 ya watumiaji wa mahakama wameridhishwa na utoaji wa huduma kutoka kwa majaji…
17 March 2023, 3:15 pm
Wamiliki wa nyumba za kulala wageni Bahi watakiwa kufuata taratibu na sheria
Ni marufuku watu wa jinsia moja kulala kwenye chumba kimoja, badala yake sheria imeruhusu watu wawili wa jinsia tofauti kulala chumba kimoja lakini waliohalalishwa kwa mujibu wa imani yao. Na Benard Magawa. Mkuu wa Jeshi la Polisi wilaya ya Bahi…
3 March 2023, 10:42 am
JKT yatarajia kuadhimisha miaka 60 ya kuasisiwa kwake
Madhimisho hayo ya miaka 60 ya kuasisi kwa Jeshi la Kujenga Taifa Jkt Tanzania yatafanyika uwanja wa jamhuri jijini Dodoma ambapo yamebeba kauli mbiu isemayo Malezi ya Vijana ,uzalishaji mali na Ulinzi kwa ustawi wa Taifa. Na Seleman Kodima Jeshi…