Maabara
7 December 2021, 11:05 am
Wamiliki wa maabara watakiwa kusimamia ubora wa maabara zao
Na; Shani Nicolous. BODI ya Maabara Binafsi za Afya (PHLB) nchini inawasisitiza wamiliki na wataalamu wa maabara kote nchini, kusimamia ubora wa maabara zao ili kuleta huduma sahihi katika jamii. Hayo yamebainishwa jijini Dodoma na Msajili wa Bodi ya Maabara…
5 October 2021, 11:04 am
Ukosefu wa Maabara wapelekea wanafunzi kushindwa kufaulu masomo yao
Na;Mindi Joseph . Ukosefu wa maabara kwa baadhi ya shule za sekondari imetajwa kuwa changamoto kwa wanafunzi kufanya vizuri katika masomo yao. Taswira ya habari imezungumza na baadhi ya wanafunzi kutoka shule zinazokabiliwa na changamoto ya miundombinu ya shule ambapo…
3 May 2021, 9:59 am
Wananchi Mbalawala waombwa kuchangia uboreshwaji maabara
Na ;Afred Bulahya. Wakazi wa mtaa wa Kawawa kata ya Mbalawala jijini Dodoma wameombwa kuchangia kiasi kidogo cha pesa kitakacho wezesha zoezi la uboreshaji wa maabara ya zahanati ya Lugala. Wito huo umetolewa na mwenyekiti wa kamati ya afya ya…
31 March 2021, 6:25 am
Maabara bubu zatakiwa kujisajili hadi kufikia aprili 30
Na ; Mariam kasawa Wamiliki wa Maabara bubu Nchini ambazo hazijasajiliwa wamepewa kipindi cha mwezi mmoja kuanzia leo hadi Aprili 30 wawe wamesajili Maabara zao ili kuepuka kufungiwa. Agizo hilo limetolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Tiba kutoka Wizara ya…