Dodoma FM
lishe bora
24 August 2021, 1:09 pm
Jamii imetakiwa kuacha mtazamo hasi juu umuhimu wa lishe bora
Na;Yussuph Hans. Jamii imekuwa na dhana mbalimbali juu ya umuhimu wa lishe bora ambapo dhana hiyo imesababisha baadhi ya watu kupendelea aina fulani ya chakula ili kukwepa gharama za vyakula vingine. Wakizungumza na taswira ya Habari Wakazi Mkoani Dodoma wamesema…