Dodoma FM

kiwanda cha mbolea

5 October 2022, 2:06 pm

Wenyeviti Njoge walia na posho

Na ;Victor Chigwada.  Licha ya kufunguliwa akaunti za Benki kwa ajili ya kulipwa Posho ,bado hakuna hatua iliyochukuliwa kwa ajili ya utekelezaji wa malipo hayo kwa Wenyeviti wa Mitaa na Vijiji. Wenyeviti wa mitaa,vijiji na vitongoji ni miongoni mwa viongozi…