DUWASA
15 April 2024, 9:34 pm
Msukumo mkubwa wa maji wachangia kupasuka kwa mabomba
Duwasa imeendelea kuhakikisha inakabiliana na changamoto ya upotevu wa maji ambao husababishwa na kupasuka kwa miundombinu ya Mabomba ya maji kutokana na presha kubwa ya maji. Na Mindi Joseph. Msukumo mkubwa wa maji umetajwa kuchangia Kupasuka kwa miundombinu ya mabomba…
27 March 2024, 5:10 pm
Uzalishaji wa maji Nzuguni waongeza asilimia 11.7 ya maji
Mradi wa Maji Nzuguni umegharimu bilion 4.3 lengo likiwa ni kuboresha huduma ya usambazaji maji katika kata na jiji la Dodoma kwa ujumla. Na Mindi Joseph.Kukamilika kwa Mradi wa awamu ya kwanza wa Visima 5 vya maji Eneo la nzuguni…
26 March 2024, 7:13 pm
Utupaji wa taka ngumu katika mifumo ya maji taka wachangia kuziba kwa mifumo
Mhandishi Aron Joseph akiwa sambamba na wataalamu kutoka Mamlaka hiyo na Viongozi wa kata hiyo kufanya Ziara katika mtaa huo ambao unakabiliwa na changamoto ya kuziba kwa mifumo ya maji taka . Na Seleman Kodima.Utupaji taka ovyo katika mifumo ya…
24 January 2022, 3:30 pm
DUWASA kufichua waharibifu wa miundombinu ya maji
Na; Benard Filbert. Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira jijini Dodoma DUWASA inaendelea na kampeni yake ya kufichua waharibifu wa miundombinu ya maji ili kukomesha vitendo hivyo. Hayo yanajiri kufuatia kuwepo kwa uharibifu wa baadhi ya miundombinu ya…