dawa za kulevya
16 March 2022, 1:43 pm
Ukosefu wa ajira chanzo cha matumizi ya dawa za kulevya
Na; Elizabeth Japhet. Ukosefu wa ajira unatajwa kuwa moja ya sababu inayosababisha baadhi ya vijana kujihusisha na utumiaji wa dawa za kulevya. Bwana Swaleh ni miongoni mwa wahanaga wa dawa za kulevya na mfanyabiashara wa soko kuu la majengo jijin…
18 January 2022, 3:01 pm
Jamii imetakiwa kuwapa nafasi vijana waliochana na matumiziya dawa za kulevya
Na ; Fred Cheti. Jamii imeombwa kutoa ushirikiano wa kutosha kwa watu waliochana na matumizi ya dawa za kulevya. Ikiwemo kuwapatia nafasi katika fursa mablimbali za kimaendeleo kuwasaidia wasiweze kurudi katika matumizi ya dawa hizo. Wakionekana kuwa na matumaini mapya…
22 October 2021, 12:27 pm
Kukosekana kwa utu ni chanzo cha kushamiri kwa biashara ya dawa za kulevya
Na; Fred Cheti. Kukosekana kwa utu inatajwa kuwa chanzo cha kushamiri kwa biashara ya dawa za kulevya duniani kote kwa kua biashara hiyo inatajwa kudhalilisha utu na heshima ya binadamu. Hii ni kulingana na shirika la habari la kidini la…
14 July 2021, 12:49 pm
Ugumu wa maisha na msongo wa mawazo ni sababu zinazopekea vijana kujiingiza kati…
Na;Yussuph Hans. Ugumu wa maisha na msongo wa mawazo bado vimeendelea kuwa miongoni mwa sababu zinazopelekea wimbi la baadhi ya vijana kuingia katika matumizi ya dawa za kulevya. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya vijana waliokuwa watumiaji wa dawa…
23 June 2021, 11:25 am
Tanzania yafikia 90% ya udhibi wa dawa za kulevya
Na; Mindi Joseph Kuelekea siku ya kimataifa ya kupambana na dawa za kulevya Tanzania imetajwa kufikia zaidi ya asilimia 90 ya udhibiti na kupambana na dawa hizo. Hii ni kwa mujibu wa Riporti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la…