Chato
30 November 2023, 2:00 pm
Polisi wanawake watakiwa kutafuta fursa kufikia malengo
Jeshi la polisi mkoani Dodoma linashiriki katika maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia duniani zilizoanza novemba 25 na zinatarajiwa kufikia tamati Disemba 10. Na Arafa Waziri. Maofisa wa Jeshi la Polisi wanawake Mkoani Dodoma wametakiwa kufanya kazi…
1 November 2023, 12:08 pm
Jiji la Dodoma latakiwa kuangalia vyanzo vipya vya mapato
Katika Mwaka wa fedha 2023/24 Halmashauri ya Jiji la Dodoma imekisia kukusanya na kutumia jumla ya shillingi 132,401,769,120 ambapo robo ya kwanza ya mwaka 2023 kuanza julai- septemba mapato yaliokusanywa ni 30,879,168,799. Na Yussuph Hassan. Halmshauri ya Jiji la Dodoma…
7 September 2023, 12:22 pm
Madereva jijini Dodoma walia na bei ya mafuta
Serikali imetangaza bei mpya ya mafuta ambapo kwa sasa wastani wa bei kikomo kwa mkoa wa Dodoma ni shilingi 3271 kwa mafuta ya petrol, shilingi 3318 kwa mafuta ya diseli na mafuta ya taa shilingi 3002. Na Katende. Wamiliki wa…
7 July 2023, 2:58 pm
Lugha ya kiswahili ni fursa ya kiuchumi duniani
Mamlaka zinazoshughulikia masuala ya ajira ikiwemo Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu zimetakiwa kuhakikisha kuwa wanaandaa na kuratibu mipango ya kutafuta nafasi za kufundisha lugha ya Kiswahili katika Nchi mbalimbali ili Watanzania waweze kwenda kutumia fursa…
12 May 2023, 1:18 pm
NEEC na Bodi ya wakala wa uwezeshaji wananchi Zanzibar zasaini mkataba wa ushiri…
Tukio hilo la utiaji Saini limefanyika katika ofisi za baraza la Taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi zilizopo eneo la Nzuguni jijini Dodoma. Na Fred Cheti. Baraza la Taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC) pamoja na Bodi ya wakala wa uwezeshaji…
11 April 2023, 4:40 pm
Makang’wa wahofia uzalishaji mdogo wa uwele
Uwele ni zao ambalo hustawi katika mazingiŕa magumu na kame lakini Msimu huu imekuwa tofauti uzalishaji wake unatajwa huenda ukawa hafifu. Na Mindi Joseph. Wakulima katika kijiji cha Makag’wa Mkoani Dodoma wamesema Kupungua kwa viwango vya mvua msimu huu wasiwasi…
7 April 2023, 2:37 pm
Dawa zilizo kwisha muda wa matumizi zatajwa kuisababishia Serikali hasara.
Amezitaja baadhi ya hospitali hizo huku akisema dawa hizo zilizoisha muda wake zimekuwepo kwa wastani wa miezi 2 hadi miaka 10. Na Alfred Bulahya Kuwepo kwa dawa zilizokwisha muda wa matumizi yake kwenye baadhi ya hospital, vituo vya afya na…
4 April 2023, 5:35 pm
Bodi ya nafaka yaendelea kuimarisha soko la mazao Dodoma
Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko imefanikiwa kununua mazao ya wakulima yenye thamani ya Shilingi 9.6 Bilioni na kuzalisha Tani 480 zilizotolewa msaada Nchini Malawi. Na Mindi Joseph. Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko Mkoani Dodoma inaendelea kuimarisha Soko la…
15 March 2023, 6:21 pm
Serikali kuboresha miundombinu ya mifugo katika ranchi ya Narco
Uwekezaji huo wa serikali unalenga kufanya ufugaji wa kisasa zaidi wenye tija ambao utaleta manufaa kwa taifa na wananchi kwa ujumla. Jumla ya Bilion 4.6 zimewekezwa katika ranchi ya Taifa NARCO iliyopo Wilayani Kongwa ili kuboresha miundombinu ya Mifungo. Naibu…
25 March 2021, 1:30 pm
Viongozi mbalimbali, wasanii Watoa heshima zao Mwisho
Na; Mariam Kasawa. viongozi, wasanii na maelfu ya wananchi wametoa heshima zao za mwisho kwa hayati Dkt. Magufuli kijijini chato mkoani geita Waziri mkuu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa na Makamu wapili wa Rais wa serikali…