Dodoma FM

Biashara

16 August 2021, 1:21 pm

Maafisa biashara watakiwa kuzingatia utoaji bora wa huduma

Na;Mindi Joseph. Maafisa Biashara wametakiwa kuzingata Utoaji wa huduma bora ili kuchangia wafanyabiashara kurasimisha biashara zao na kuingia katika zama za ushindani wa kibiashara. Akizungumza leo jijini Dodoma katika ufunguzi wa mafunzo ya maafisa bisahara Afisa Mtendaji Mkuu BRELA Bw.…

1 June 2021, 6:09 am

Wafanyabishara waiomba serikali kurahisisha usafirishaji wa mizigo

Na; Benjamin Suluwano. Wafanyabiashara wa soko la sabasaba wameiomba serikali kutafuta njia mbadala ya kurahisisha usafirishaji wa mizigo kutoka soko la Job Ndugai kwenda sokoni . Wakizungumza na Dodoma fm baadhi ya wafanyabiashara wamesema wanaomba wapunguzie ushuru na serikali iongeze…

25 May 2021, 11:20 am

Bei ya nguo za mitumba yashuka

Na; Tosha Kivula Bei ya nguo za mitumba imeendelea kuwa ya wastani ikilinganishwa na miezi kadhaa iliyopita.. Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wanunuzi wa nguo hizo kwa bei ya reja reja wamesema bei hiyo imezidi kuwanufaisha ambapo kwa…

18 May 2021, 7:58 am

Biashara ya ulezi yashamiri jijini Dodoma

Na; Ramla Shabani Baadhi ya wafanyabiashara wa ulezi jijini Dodoma wameelezea namna biashara hiyo inavyoshamiri kutokana na watumiaji wengi wa zao hilo wamesema kuwa zao la ulezi linatumiwa kwa wingi. Wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa watu wengi wanatumia…