Biashara
20 March 2024, 5:42 pm
Wawekezaji wakaribishwa Idifu kuanzisha miradi mbalimbali
Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imekuwa na mpango wa matumizi bora ya ardhi ambapo mpango huo umekuwa ukiratibiwa chini ya mradi wa uwezeshaji usalama wa milki za ardhi unao simamiwa na Serikali kwa kushirikiana na Bank ya Daunia. Na Victor…
20 September 2021, 11:42 am
Baraza la Taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC) lazindua kanzi data ya wa…
Na; Mariam Matundu . Baraza la taifa la uwezeshaji wananchi Kiuchumi (NEEC)linatarajia kuzindua Kanzi data ya wafanyabiashara wa Tanzania ili kuongeza wigo wa uwekezaji. Hayo yamesemwa na Katibu Mtendaji wa baraza hilo Beng’i Issa wakati alikitoa taarifa juu ya Kongamano…
20 August 2021, 12:15 pm
Serikali yawataka maafisa biashara kufanya kazi kwa ushirikiano na weledi
Na;Mindi Joseph. Serikali imewataka Maafisa biashara kufanya kazi kwa ushirikiano na weledi ili kuboresha huduma kwa wananchi na kupunguza kero pamoja na kuepuka kupokea rushwa. Akizungumza leo wakati wa kufunga mafunzo ya maafisa biashara Jijini Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara…
16 August 2021, 1:21 pm
Maafisa biashara watakiwa kuzingatia utoaji bora wa huduma
Na;Mindi Joseph. Maafisa Biashara wametakiwa kuzingata Utoaji wa huduma bora ili kuchangia wafanyabiashara kurasimisha biashara zao na kuingia katika zama za ushindani wa kibiashara. Akizungumza leo jijini Dodoma katika ufunguzi wa mafunzo ya maafisa bisahara Afisa Mtendaji Mkuu BRELA Bw.…
22 June 2021, 1:58 pm
Serikali kuboresha vitambulisho vya wajasiriamali ambavyo hutolewa kwa kipindi c…
Na;Yussuph Hans. Serikali katika kuhakikisha wajasiriamali wadogo wanafanya biashara kwa uhuru, imesema inaendelea kuboresha vitambulisho vya wajasiriamali ambavyo hutolewa kwa kipindi cha mwaka mzima. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma katika kipindi cha maswali na majibu na Naibu Waziri Ofisi…
3 June 2021, 12:11 pm
Wafugaji wilayani Chemba walia na changamoto ya kukosa soko la kuuzia mifugo yao
Na;Victor Chigwada. Wakulima na wafugaji wa Kata ya Farkwa katika Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwatatulia changamoto ya soko la mazao pamoja na majosho ili wafanye shughuli zao kwa tija. Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema…
2 June 2021, 9:55 am
Serikali yaweka mkakati wa kumaliza vikwazo vya biashara na Kenya
Na; Mariam Matundu. Serikali kupitia wizara ya viwanda na biashara imeweka mikakati ya kuhakikisha inamaliza vikwazo vya kibiashara kati ya nchi ya Kenya na Tanzania ili kuimarisha biashara kati ya nchi hizo mbili. Hivi karibuni kumekuwa na mikutano kati ya…
1 June 2021, 6:09 am
Wafanyabishara waiomba serikali kurahisisha usafirishaji wa mizigo
Na; Benjamin Suluwano. Wafanyabiashara wa soko la sabasaba wameiomba serikali kutafuta njia mbadala ya kurahisisha usafirishaji wa mizigo kutoka soko la Job Ndugai kwenda sokoni . Wakizungumza na Dodoma fm baadhi ya wafanyabiashara wamesema wanaomba wapunguzie ushuru na serikali iongeze…
25 May 2021, 11:20 am
Bei ya nguo za mitumba yashuka
Na; Tosha Kivula Bei ya nguo za mitumba imeendelea kuwa ya wastani ikilinganishwa na miezi kadhaa iliyopita.. Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wanunuzi wa nguo hizo kwa bei ya reja reja wamesema bei hiyo imezidi kuwanufaisha ambapo kwa…
18 May 2021, 7:58 am
Biashara ya ulezi yashamiri jijini Dodoma
Na; Ramla Shabani Baadhi ya wafanyabiashara wa ulezi jijini Dodoma wameelezea namna biashara hiyo inavyoshamiri kutokana na watumiaji wengi wa zao hilo wamesema kuwa zao la ulezi linatumiwa kwa wingi. Wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa watu wengi wanatumia…