Dodoma FM

wanawake

9 March 2024, 5:35 pm

Sera ya Jinsia kukuza usawa wa kijinsia

Waziri Dkt. Gwajima amewasisitiza wanawake kujiunga na vikundi vya maendeleo ili kutumia fursa za kiuchumi zinazotolewa na Serikali pamoja na wadau na kuwahimza kujitokeza kugombea nafasi mbalimnali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu. Na Mariam Matundu.…

23 June 2022, 2:43 pm

Wakazi wa mgodi wa Nholi waomba kupatiwa huduma za kijamii

Na; Victor Chigwada. Kukosekana kwa huduma za kijamii katika maeneo ya migodini kumekuwa kukisababisha changamoto mbalimbali licha ya migodi kuwa chanzo cha mapato kwa serikali. Mkemia mkuu wa mgodi mwa Nholi Bw.Renatusi Lukumila amekiri kuwa mgodi wa Nholi bado miongoni…

26 November 2021, 12:36 pm

Wanawake wapewe elimu ya kugombea nafasi mbalimbali

Na; Mariam Matundu. Tume ya taifa ya uchaguzi imeshauriwa kuwa inatoa elimu endelevu ya chaguzi mbalimbali hapa nchi ili kuwezesha wanawake kuelimika zaidi na kujitokeza kugombea nafasi za uongozi zinazojitokeza. Hayo yamesemwa na mbunge wa viti maalumu mkoa wa Mbeya…