wanawake
18 March 2024, 12:05 pm
Wanaume Dodoma waonywa kuacha ukatili wa kiuchumi kwa wake zao
Mkutano huo ulikuwa na lengo la kutoa hamasa kwa wananchi hususani wanawake kujiunga na vyama vya ushirika. Na Fred Cheti. Wanaume wametakiwa kuacha kufanya ukatili wa kiuchumi kwa wake zao hasa kwenye kilimo ambapo inaelezwa kuwa baadhi ya wanaume wamekua…
9 March 2024, 5:35 pm
Sera ya Jinsia kukuza usawa wa kijinsia
Waziri Dkt. Gwajima amewasisitiza wanawake kujiunga na vikundi vya maendeleo ili kutumia fursa za kiuchumi zinazotolewa na Serikali pamoja na wadau na kuwahimza kujitokeza kugombea nafasi mbalimnali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu. Na Mariam Matundu.…
23 June 2022, 2:43 pm
Wakazi wa mgodi wa Nholi waomba kupatiwa huduma za kijamii
Na; Victor Chigwada. Kukosekana kwa huduma za kijamii katika maeneo ya migodini kumekuwa kukisababisha changamoto mbalimbali licha ya migodi kuwa chanzo cha mapato kwa serikali. Mkemia mkuu wa mgodi mwa Nholi Bw.Renatusi Lukumila amekiri kuwa mgodi wa Nholi bado miongoni…
14 December 2021, 12:31 pm
Wanawake wafurahishwa na utendaji kazi wa taasisi za kutetea haki za wanawake
Na ;Thadei Tesha. Wanawake waelezea jinsi wanavyo nufaika na taasisi mbalimbali zinazo tetea kundi la wanawake katika nyanja mbalimbali. Taswira ya habari imefanya mahojiano na baadhi ya wanawake kuhusiana na Namna walivyonufaika na harakati mbalimbali zinazofanywa na mashirika dhidi yao.…
26 November 2021, 12:36 pm
Wanawake wapewe elimu ya kugombea nafasi mbalimbali
Na; Mariam Matundu. Tume ya taifa ya uchaguzi imeshauriwa kuwa inatoa elimu endelevu ya chaguzi mbalimbali hapa nchi ili kuwezesha wanawake kuelimika zaidi na kujitokeza kugombea nafasi za uongozi zinazojitokeza. Hayo yamesemwa na mbunge wa viti maalumu mkoa wa Mbeya…
15 October 2021, 11:36 am
Wanawake ni muhimu katika maendeleo ya Taifa lolote Duniani
Na ; Selemani Kodima. Rais wa Urusi Vladimir Putin ameonesha kuwa wanawake ni muhimu katika maendeleo ya taifa lolote kulingana na asili ya majukumu yao wanayoyafanya hasa katika malezi kwa mtoto. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Afya, Maendelo ya Jamii,…
14 September 2021, 1:58 pm
Imeelezwa kuwa usawa wa kijinsia katika uongozi mbalimbali hapa Nchini unawezeka…
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa usawa wa kijinsia katika nafasi mbalimbali za uongozi hapa nchini unawezekana kwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassani anaonesha nia ya dhati katika kufikia hilo kutokana na teuzi mbalimbali anazozifanya. Hayo yameelezwa na mratibu wa mradi…