walemavu
8 April 2024, 6:03 pm
Keisha agawa mitungi 200 ya gesi kwa watu wenye ulemavu Dodoma
Mbunge Keisha amemshukuru Rais Samia kwa kuwajali watanzania hususani watu wenye ulemavu nchini. Miongoni mwa mkakati jumuishi wa serikali ni kuhakikisha mpaka kufikia mwaka 2033 zaidi ya 80% ya wananchi nchini wawe wanatumia nishati safi ya kupikia ikiwemo gesi na…
5 April 2022, 1:27 pm
Watu wenye ulemavu watakiwa kujishughulisha na shughuli mbalimbali
Na; Shani Nicolous. Watu wenye ulemavu wametakiwa kuacha kukaa na kuomba misaada badala yake watafute shughuli za kufanya ili wawezeshwe kufanikisha shughuli zao. Wito huo umetolewa na Bw. Stephano Nyange Bobo mkazi wa Nzuguni ambaye ni mlemavu wa viungo…
23 March 2022, 2:19 pm
Serikali yawajengea bweni wanafunzi wa kike wenye ulemavu Bahi
Na; Mariam Matundu. Wanafunzi wenye ulemavu wanaosoma katika shule ya msingi Bahi sokoni wameishukuru serikali kwa kujengewa bweni la wasichana shuleni hapo kwani hatua hiyo itaongeza ari kwa wazazi ya kuwapeleka watoto shule. Baadhi ya wanafunzi hao wamesema iwapo bweni…
16 March 2022, 1:57 pm
Watu wenye ulemavu waomba elimu juu ya umuhimu wa sensa
Na; Mariam Matundu. Watu wenye ulemavu wameiomba serikali kuwaelimisha juu ya umuhimu wa sense kwa kundi hilo ili waweze kushiriki kikamilifu kuhesabiwa pindi zoezi litakapoanza. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya watu wenye ulemavu wamesema sense ni muhimu kundi…
16 February 2022, 3:55 pm
Jamii yatakiwa kuwapa ushirikiano watu wenye ulemavu
Na; Thadei Tesha. Jamii imetakiwa kuelewa kuwa wapo baadhi ya watu wenye ulemavu ambao wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika jamii kutokana na kupewa ushirikiano kutoka katika jamii. Akizungumza na taswira ya habari katibu mkuu wa shirikisho la watu wenye ulemavu…
10 December 2021, 12:25 pm
Imeelezwa kuwa asilimia 70 watoto wenye ulemavu wa macho wamefaulu elemu ya msin…
Na; Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa asilimia 70 ya watoto wenye ulemavu wa macho waliosaidiwa kwa kupatiwa vifaa vya kusomea na kupewa kipaumbele shuleni, wamefaulu elimu ya msingi na kijiunga na sekondari. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Shirika la Light For The…
7 December 2021, 9:40 am
Watu wenye ulemavu waitaka jamii kuacha unyanyapaa
Na; Mariam Matundu. Watu wenye ulemavu wameitaka jamii kuacha dhana potofu ya unyanyapaa na kuwaona ni watu wasioweza kujieleza pale wanapofika katika maeneo kutoa huduma mbalimbali . Rajabu Mpilipili ni mkurugenzi wa taasisi ya Youth with disabilities organization na joyce…
28 September 2021, 1:49 pm
Serikali kuendelea na utaratibu wa kujenga na kukarabati vyuo vya watu wenye ule…
Na; Mariam Matundu. Serikali imesema inaendelea na utaratibu wa kujenga na kukarabati vyuo vya watu wenye ulemavu lengo ni kuwasaidia kupata elimu ili wajikwamue kiuchumi. Kauli hiyo imetolewa hii leo Jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia watu…
21 September 2021, 12:34 pm
Serikali yaombwa kutoa kipaumbele kikubwa cha bajeti na sera ili kusaidia maende…
Na;Mindi Joseph. Serikali imeombwa kutoa kipaumbele kikubwa cha bajeti na sera katika kuanzisha na kuendeleza shule jumuishi kwa watoto ili kusaidia maendeleo ya elimu maalumu. Akizungumza na taswira ya habari Msimamizi wa Sera kwenye Mradi wa Elimu Jumuishi unaotekelezwa Mkoani…