vijana
3 April 2024, 5:16 pm
Watu wa karibu wana mchango gani kwa kijana kuwania uongozi
Leo tunaangazia Watu wa karibu wanamsaidiaje kijana kuwania nafasi za uongozi wa serikali za mitaa ambapo Selemani kodima anatuletea taarifa ifuatayo. Na Seleman Kodima.Ikiwa Mwaka huu Tanzania tunafanya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao unahusisha kuchagua viongozi kwenye nafasi za…
18 March 2024, 6:43 pm
Leo tunaangazia umri upi sahihi kwa kijana kuwania nafasi za uongozi wa serikali…
Hizo ni sifa chache tu, lakini leo tumezungumza na mwanamke ambaye ni kiongozi wa serikali ya mtaa wa Mpamaa ili kujua ilikuwa rahisi au ngumu kiasi gani yeye kuwania nafasi hiyo hadi kuwa kiongozi. Na Seleman Kodima.Kwa mujibu wa kanuni…
7 February 2022, 2:49 pm
Vijana wahitaji elimu zaidi juu ya madhara ya matumizi ya pombe na tumbaku
Na; Thadei Tesha. Baadhi ya vijana jijini hapa wamesema elimu zaidi inahitajika kwa vijana ambao wamekuwa wakiathiriwa na matumizi ya pombe pamoja na tumbaku juu ya athari za kiafya zinazoweza kuwapata. wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya vijana jijini…
20 January 2022, 4:36 pm
Taasisi zatakiwa kuwapatia vijana mbinu za kujikwamua kiuchumi.
Na; Thadei Tesha. Taasisi mbalimbali za binafsi na serikali zimetakiwa kushirikiana na viongozi wa dini ili kuwasadia vijana katika kuwapa mbinu mbalimbali za maisha ili kujikwamua kiuchumi. Taswira ya habari imefanya mahojiano na baadhi ya viongozi wa dini kutoka sehemu…
29 November 2021, 1:05 pm
Vijana watakiwa kupunguza tabia hatarishi
Na; Shani Nicolous. Vijana wametakiwa kupunguza tabia hatarishi za maisha zinazosababisha kuogopa kupima Virus vya Ukimwi. Akizungumza na Taswira ya habari mtaalamu wa afya kutoka katika taasisi ya COHASO Teobad Abdon amesema kuwa vijana wengi wanajihusisha na mahusiano na watu…
5 November 2021, 1:26 pm
Jamii yatakiwa kuweka tamaduni ya kuzungumza na vijana juu ya afya ya uzazi
Na; Mariam Matundu. Jamii imeshauriwa kuacha tamaduni za kutozungumza na watoto wao na badala yake wawe wa wazi katika kufikisha elimu ya afya ya uzazi. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya vijana wamesema kuwa wanakumbwa na sintofahamu juu ya…
15 September 2021, 2:12 pm
Mbunge wa Dodoma mjini amewataka vijana kufanya kazi kwa weledi
Na;Mindi Joseph. Mbunge wa Dodoma Mjini Mh Athony mavunde amewataka vijana kufanya kazi kwa weledi pindi wanapopata nafasi ya kuaminiwa kufanya kazi Kwenye Taasisi mbalimbali Nchini. Akizungumza na taswira ya Habari Mh Mavunde amesema vijana wanapopewa jukumu la kufanya kazi…