Utamaduni
28 September 2021, 1:04 pm
Jamii na wazazi washauriwa kuwafundisha watoto maadili na tamaduni za kitanzania
Na;Thadei Tesha. Viongozi kwa kushirikiana na wazazi wameshauriwa kuwa mstari wa mbele katika kuwafundisha watoto wao maadili na tamaduni za kitanzania ili kukuza kizazi cha watoto wenye kufuata misingi na tamaduni nzuri za kitanzania. Akizungumza na taswira ya habari afisa…
6 May 2021, 11:41 am
Wananchi wametakiwa kuwa na utamaduni wa kufanya utalii wa ndani.
Na; Mariam Kasawa Wananchi wametakiwa kuwa na utaratibu wa kufanya utalii wa ndani katika mbuga mbalimbali ili kufahamu vivutio vingi vya utalii vinavyo patikana hapa Nchini. Ushauri huo umetolewa na wawakilishi kutoka hifadhi ya Taifa Tanzania TANAPA wakati wakizungumza na…
5 May 2021, 11:37 am
Wananchi watakiwa kutunza utamaduni kujenga Taifa lenye utambulisho stahiki
Na; Fred Cheti Katika kuelekea siku ya uwanuai wa tamaduni duniani wito umetolewa kwa jamii kutunza na kuendeleza tamaduni za kitanzania katika ngazi zote ikiwemo vitu vya asili ili kujenga Taifa lenye utambulisho stahiki na amani. Wito huo umetolewa na…