ukatili
1 December 2022, 8:22 am
Vijana jijini Dodoma kufikiwa na elimu ya maambukizi ya vvu
Na; Benard Filbert. Ofisi ya mganga mkuu wa Mkoa wa Dodoma imejipanga kuwafikia vijana ambao wanahisiwa kuwa na virusi vya Ukimwi kwa ajili ya kuwapa elimu katika vituo vya kutolea huduma rafiki ili kupunguza maambukizi hayo. Taarifa hiyo imetolewa na…
4 October 2022, 12:41 pm
Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya Ebola
Na;Mariam Matundu. Wakazi wa Dodoma wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa ebola kwa kuepuka kula nyama pori ambazo hazija kaguliwa na wataalamu , kuepuka mikusanyiko pamoja na kuzingatia suala la unawaji mikono mara kwa mara. Tahadhari hiyo imetolewa Dkt…
1 September 2022, 8:39 am
Wizara ya Afya yaja na mkakati wa kuzuia magonjwa yasiyopewa kipaumbele
Na ;Benard Filbert . Wizara ya afya imesema kuwa imekuja na mpango wa taifa wakudhibiti magonjwa ambayo hayapewi kipaumbele lengo likiwa kumezesha dawa za kinga tiba katika ngazi ya jamii. Hayo yanajiri kutokana na baadhi ya magonjwa kutokupewa kipaumbele licha…
13 December 2021, 3:25 pm
Wanaume watakiwa kuvunja ukimya dhidi ya vitendo vya ukatili
Na; Thadei Tesha . Kutohudumia familia kwa baadi ya wanaume kunapelekea wanaume hao kufanyiwa vitendo vya ukatili na wenza wao na kukaa kimya. Taswira ya habari imefanya mahojiano na baadhi ya wananume kufahamu sababu zinazopelekea baadhi yao kusahau majukumu ya…
13 December 2021, 2:50 pm
Uwepo wa madawati ya jinsia katika vyuo vikuu nchini ni chachu ya kupunguza vite…
Na;Yussuph Hans. Kufuatia uanzishwaji wa Madawati ya jinsia katika Vyuo Vikuu Nchini hatua hiyo imeelezwa kuwa itasaidia kwa kiasi kupunguza Rushwa ya Ngono pamoja na matukio ya ukatili wa kijinsia. Wakizungumza na Taswira ya Habari wakazi Mkoani Dodoma wamesema kuwa…
8 December 2021, 2:20 pm
Jamii yatakiwa kuondoa hofu juu ya kuripoti matukio ya ukatili
Na; Shani Nicolaus . Wakati Tanzania ikiendelea kuungana na mataifa mengine katika kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia jamii imetakiwa kuondoa hofu juu ya kuripoti kesi za ukatili. Akizungumza na Dodoma fm msimsamizi mkuu wa dawati la jinsia…
7 October 2021, 12:16 pm
Wakazi wa Mpwayungu waaswa kuacha kuendekeza undugu katika masuala ya ukatili dh…
Na; Alfred Bulahya. Wakazi wa kata ya Mpwayungu wilayani Chamwino mkoani Dodoma, wametakiwa kuacha kuendekeza undugu katika mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto na badala yake washirikiane na mamlaka zinazosimamia masuala hayo ili kukomesha vitendo hivyo.…
27 September 2021, 12:08 pm
Ripoti za matukio ya ukatili dhidi ya wanaume jijini Dodoma zaongezeka
Na; Shani Nicolaus. Imeelewza kuwa muitikio wa kuripoti vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanaume jijini Dodoma umeongezeka. Akizungumza na Taswira ya habari Afisa wa jinsia na watoto kutoka Kituo kikuu polisi Dodoma Maicko Nkinda Sabuni amesema kuwa kumekuwa na…
27 August 2021, 12:54 pm
Jamii yatakiwa kupinga ukatili wa kijinsia kwa mtoto wa kike ili kumuandaa mama…
Na; Benard Filbert. Jamii inakumbushwa kupinga ukatili wa kijinsia kwa watoto wakike hali itakayosaidia kumuandaa mama mwenye malezi bora kwa familia yake hapo baadae. Hayo yameelezwa na Bi. Stellah Matelu kutoka shirika lisilo la kiserikali la Action For Community Care…
19 August 2021, 1:21 pm
Serikali yaombwa kutoa elimu dhidi ya vitendo vya ukatili wa jinsia kwa jamii
Na; Benard Filbert. Baadhi ya wakazi Jijini Dodoma wameiomba Serikali kuhakikisha wanatoa elimu katika jamii kuhusu vitendo vya ukatili wa kijinsia na ubakaji ili kusaidia kukomesha tatizo hilo. Wamesema hayo wakati wakizungumza na taswira ya habari wakati wakielezea nini kifanyike…