Dodoma FM

ukatili

4 October 2022, 12:41 pm

Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya Ebola

Na;Mariam Matundu. Wakazi wa Dodoma wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa ebola  kwa kuepuka kula nyama pori ambazo hazija kaguliwa na wataalamu , kuepuka mikusanyiko pamoja na kuzingatia suala la unawaji mikono mara kwa mara. Tahadhari hiyo imetolewa Dkt…

13 December 2021, 3:25 pm

Wanaume watakiwa kuvunja ukimya dhidi ya vitendo vya ukatili

Na; Thadei Tesha . Kutohudumia familia kwa baadi ya wanaume kunapelekea wanaume hao kufanyiwa vitendo vya ukatili na wenza wao na kukaa kimya. Taswira ya habari imefanya mahojiano na baadhi ya wananume kufahamu sababu zinazopelekea baadhi yao kusahau majukumu ya…