uchumi
18 October 2021, 11:18 am
Jamii imetakiwa kuzingatia fursa za uchumi nchini na kufanya kazi kwa bidii
Na; Shani Nicolous. Jamii imetakiwa kuzingatia fursa za kiuchumi nchini na kufanya kazi kwa bidii ili kutokomeza umaskini nchini. Akizungumza na Taswira ya habari mchambuzi wa masuala ya kiuchumi na mkuu wa fedha katika Chuo kikuu cha mtakatifu Yohana Dodoma…
13 July 2021, 12:48 pm
NaCoNGO yashauriwa kuwa daraja la kusaidia vijana kuchangamkia fursa za kilimo n…
Na;Mindi Joseph . Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Mh Mizengo Pinda amelishauri Baraza la Taifa la Mashirika yasiyo ya Kiserikali NaCONCO kuwa daraja la kusaidia vijana kuchangamkia fursa za kilimo na ufugaji. Mhe.Pinda amebainisha hayo nyumbani kwake kijijini Zuzu Mkoani…
12 July 2021, 1:16 pm
Wanaume Bahi wadaiwa kufanya unyanyasaji wa kiuchumi
Na; Shani Nicolous. Baadhi ya wanaume katika kata ya Bahi Wilaya ya Bahi, Mkoani Dodoma wanadaiwa kufanya unyanyasaji wa kiuchumi katika familia zao hususani katika kipindi hiki cha msimu wa mavuno. Hayo yamesemwa na Diwani wa kata hiyo Bw. Agustino…
29 June 2021, 2:09 pm
Wakazi wa Handali waiomba serikali kuwapelekea wataalam wa uchimbaji madini.
Na ;Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Handali iliyopo Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wameiomba serikali kuwapelekea wataalamu wa musuala ya madini ili kuwapatia elimu ya uchimbaji itakayo wawezesha kuchimba kwa ufanisi. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi…
28 June 2021, 11:48 am
Rasilimali za Taifa zikisimamiwa vyema zitanufaisha maisha ya kila Mtanzania
Na;Yussuph Hans. Imeelezwa kuwa endapo Rasilimali za Taifa zitasimamiwa vizuri pamoja na kufanyia kazi mapendekezo ya mkaguzi na mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali zitanufaisha vyema Maisha ya kila Mtanzania. Hayo yamebainishwa leo Jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Taasisi ya…
26 June 2021, 3:15 pm
Waathirika wa dawa za kulevya Nchini wasaidiwe
Na;Mindi Joseph Serikali imesema tatizo la matumizi ya Dawa za kulevya Nchini limeendelea kuongezeka siku hadi siku huku akitoa Maelekezo mbalimbali kwa kuwasiadia waathirika wadawa za kulevya kiuchumi ili wasirudi katika matumizi ya Dawa hizo. Akizungumza hii leo Jijini Dodoma…
4 June 2021, 1:06 pm
Asilimia moja ya pato la Taifa yapotea kila mwaka kufuatia athari za mabadiliko…
Na;Mindi Joseph . Asilimia 1 ya pato la Taifa inatajwa kupotea kila mwaka kutokana na mabadiliko ya tabia nchi huku ikikadiriwa watu milioni 1.6 wanaoishi ukanda wa pwani watakabiliwa na changamoto ya athari za mabadiliko ya tabia nchi ifikapo mwaka…
27 May 2021, 2:53 pm
Serikali yaweka mkakati ujenzi wa viwanda ili kupunguza Tatizo la ajira Nchini
Na; Yussuph Hans. Kufuatia changamoto ya upatikanaji wa Ajira kwa Wahitimu Nchini, Serikali inaweka utaratibu mzuri ikiwemo mkakati wa ujenzi wa viwanda ambao utasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza changamoto hiy Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Waziri Mkuu wa…
27 May 2021, 2:04 pm
Elimu ya ufundi ni kichocheo bora cha maendeleo endelevu Nchini.
Na;Mindi Joseph. Serikali imesema maendeleo ya viwanda na usatawi wa jamii hayawezi kuleta tija pasipo kuwa na usimamizi bora kwenye elimu ya ufundi kama kichocheo endelevu cha ukuaji wa uchumi nchini Tanzania. Akizungumza katika Ufunguzi kongamano la wadau wa elimu…
24 May 2021, 1:29 pm
Chitela walalamikia kukosa elimu na vifaa vya uchimbaji wa madini ya chumvi
Na; Victor Chigwada Ukosefu wa elimu na vifaa vya kuchimbia madini ya chumvi na chokaa ni sababu kubwa inayo rudisha nyuma shughuli za uchimbaji. Hayo yamesemwa na baadhi ya wananchi wanaojihusisha na uchimbaji wamadini hayo waliopo mtaa wa Chitela kata…