Dodoma FM

sheria

23 February 2024, 5:58 pm

Matukio ya uhalifu tishio kwa wakazi wa Nzuguni

Jeshi la Polisi linaombwa kufanya doria za mara kwa mara hasa usiku na jitihada za kuwapata viongozi hawa zinaendelea ili kujua wamechukua hatua gani katika kulinda usalama wa wananchi na mali zao. Na Mindi Joseph. Matukio ya uhalifu, wizi na…

7 February 2022, 3:44 pm

Vyombo vya sheria vyaombwa kusimamia haki

Na; Benard Filbert. Vyombo vinavyosimamia sheria nchini vimeombwa kusimamia haki pale inapobainika mtu yeyote kufanya vitendo vya kikatili ili kukomesha  hali hiyo. Hayo yamebeinishwa na afisa miradi Bi Stella Matei kutoka taasisi ya ACTION FOR COMMUNITY CARE ambayo inajihusisha na…

2 August 2021, 1:46 pm

Sheria ya ndoa jinsi inavyo leta mkanganyiko kwa jamii

Na; Benard Filbert. Serikali imeombwa kuangalia upya sheria ya ndoa ya mwaka 2002 ambayo inamruhusu mtoto wa kike kuoelewa chini ya miaka 18 kwani imekuwa ikileta mkanganyiko katika jamii huku baadhi yao wakilazimika kukatisha masomo yao. Hayo yameelezw na Emmanuel…