sheria
23 February 2024, 5:58 pm
Matukio ya uhalifu tishio kwa wakazi wa Nzuguni
Jeshi la Polisi linaombwa kufanya doria za mara kwa mara hasa usiku na jitihada za kuwapata viongozi hawa zinaendelea ili kujua wamechukua hatua gani katika kulinda usalama wa wananchi na mali zao. Na Mindi Joseph. Matukio ya uhalifu, wizi na…
7 February 2022, 3:44 pm
Vyombo vya sheria vyaombwa kusimamia haki
Na; Benard Filbert. Vyombo vinavyosimamia sheria nchini vimeombwa kusimamia haki pale inapobainika mtu yeyote kufanya vitendo vya kikatili ili kukomesha hali hiyo. Hayo yamebeinishwa na afisa miradi Bi Stella Matei kutoka taasisi ya ACTION FOR COMMUNITY CARE ambayo inajihusisha na…
2 February 2022, 3:53 pm
Rais Samia asema bado kuna malalamiko mengi ya wananchi juu ya ucheleweshwaji wa…
Na; Pius Jayunga. Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania mh. Samia suluhu Hassan amesema bado kuna malalamiko mengi ya wananchi juu ya ucheleweshwaji wa haki katika muhimili wa mahakama. Rais samia ametoa kauli hiyo wakati wa sherehe za kilele…
23 October 2021, 2:48 pm
Wananchi watakiwa kushirikishwa kuweka mifumo bora ya kisera na kisheria
Na;Yussuph Hans. Asasi za kiraia Nchini zimetakiwa kuwa chachu ya kuleta maendeleo kwa kuisadia Serikali katika mipango mbalimbali ili kuwafikia wananchi wengi zaidi. Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Haki Rasilimali Racheal Chagonja wakati akizungumza na Dodoma Fm katika…
21 October 2021, 12:30 pm
Waendesha vyombo vya moto jijini Dodoma watakiwa kufuata taratibu na kanuni za u…
Na; Shani Nicolous. Waendesha vyombo vya moto jijini Dodoma wametakiwa kufuata taratibu na kanuni za usalama barabarani ili kuepusha usumbufu wa adhabu zitakazolewa kisheria. Akizungumza na Dodoma fm kupitia kipindi cha Dodoma live rais wa jumuiya ya wananfunzi wanaosoma sheria…
20 October 2021, 11:14 am
Jamii imetakiwa kuripoti makosa ya jinai yanapotokea na si kujichukulia sheria m…
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kushirikiana na wasaidizi wa kisheria na serikali kuripoti makosa ya jinai yanapotokea kuliko kujichukulia sheria mkononi. Akizungumza na Dodoma fm kupitia kipindi cha Dodoma live msaidizi wa kisheria kutoka wilaya ya Bahi Daudi…
16 September 2021, 2:01 pm
Vyombo vya ulinzi na usalama vyaagizwa kuchukua hatua za kisheria dhidi ya watu…
Na;Mindi Joseph . Waziri wa Mambo y a Ndani ya Nchi George Simbachawene ameviagiza Vyombo vyote vya ulinzi na usalama Nchini kuanza kuchukua hatua za kisheria kwa wale ambao wanatumia mitandao ya kijamii vibaya ikiwemo kudhalilisha viongozi.Akizungumza leo Mtumba Jijini…
2 August 2021, 1:46 pm
Sheria ya ndoa jinsi inavyo leta mkanganyiko kwa jamii
Na; Benard Filbert. Serikali imeombwa kuangalia upya sheria ya ndoa ya mwaka 2002 ambayo inamruhusu mtoto wa kike kuoelewa chini ya miaka 18 kwani imekuwa ikileta mkanganyiko katika jamii huku baadhi yao wakilazimika kukatisha masomo yao. Hayo yameelezw na Emmanuel…
2 July 2021, 2:15 pm
Wakuu wa idara na taasisi watakiwa kuhakikisha wanalipa fidia kabla ya kutwaa Ar…
Na;Yussuph Hans. Marufuku imetolewa kwa wakuu wa idara, taasisi pamoja na wakurugenzi kuhakikisha wanalipa fidia kwa wananchi kabla ya kutwaa ardhi yao ikiwa ni pamoja na kuwepo kwa maridhio baina ya pande zote mbili. Akizungumza katika kikao cha uzinduzi wa…
28 June 2021, 11:26 am
Waganga na wakunga watiba asilia watakiwa kujua sheria ili kuepusha migogoro kwa…
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa uelewa mdogo wa sheria kwa waganga wa tiba za asili nchini ni sababu inayo pelekea kutokea kwa migogoro mingi katika jamii. Hayo yameelezwa na katibu wa umoja wa waganga na wakunga asilia nchini Bwana Lucas…