Nishati
12 July 2021, 12:32 pm
Wakazi wa mtaa wa Mkoyo wametakiwa kuzingatia bei halali ya uingizaji wa umeme
Na; Benard Filbert. Wakazi wa mtaa wa Mkoyo kata ya Hombolo Jijini Dodoma waeombwa kuzingatia bei halali ya uingizaji wa umeme wa REA ambayo ni elf 27 na sio vinginevyo. Tahadhari hiyo imetolewa na Diwani wa Kata ya Hombolo Bw.…
8 July 2021, 11:32 am
Serikali yatatua changamoto ya umeme kata ya Membe
Na; Benard Filbert. Miezi kadhaa baada ya Dodoma FM kuripoti habari kuhusu changamoto ya kukosekana kwa nishati ya umeme katika kata ya Membe Wilayani Chamwino hatimaye Serikali imeanza kuchomeka nguzo za umeme. Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Chitaburi wameeleza…
1 July 2021, 11:07 am
Matumizi makubwa ya nishati ya mkaa na kuni yatajwa kuwa chanzo kikuu cha uharib…
Na;Mindi Joseph . Matumizi ya kuni na Mkaa huchangia miti mingi kukatwa na kusababisha uharibifu wa mazingira. Kwa mujibu wa ripoti ya Hali ya Upatikanaji wa Nishati iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu mwaka 2016 inaonyesha kuwa asilimia 88.2…