Dodoma FM

mifugo

22 April 2022, 1:53 pm

Serikali yashauriwa kusimamia malipo kwa wafugaji

Na;Yussuph Hassan. Serikali Nchini imeshauriwa kusimamia kwa kina suala la malisho kwa wafugaji kwani kundi hilo limekuwa likichangia kwa kiasi kubwa shughuli za kiuchumi. Akizungumza na waandishi wa habari na Mwenyekiti wa Chama Cha Wafugaji Nchini Jeremia Wambura amesema kuwa…