mifugo
14 June 2023, 3:24 pm
Asilimia 97 watumiaji dawa wamefanikiwa kufubaza virusi vya Ukimwi
Waziri Ummy ametoa wito kwa Watanzania kwenda kupima kujua hali zao lakini kwa ambao wanajua hali zao dawa za UKIMWI zipo na zinatolewa bila malipo na vipimo vya kujipima mwenyewe vipo kwahiyo Watanzania wajitokeze kupima ili tutokomeze UKIMWI ifikapo mwaka…
1 December 2022, 8:22 am
Vijana jijini Dodoma kufikiwa na elimu ya maambukizi ya vvu
Na; Benard Filbert. Ofisi ya mganga mkuu wa Mkoa wa Dodoma imejipanga kuwafikia vijana ambao wanahisiwa kuwa na virusi vya Ukimwi kwa ajili ya kuwapa elimu katika vituo vya kutolea huduma rafiki ili kupunguza maambukizi hayo. Taarifa hiyo imetolewa na…
22 April 2022, 1:53 pm
Serikali yashauriwa kusimamia malipo kwa wafugaji
Na;Yussuph Hassan. Serikali Nchini imeshauriwa kusimamia kwa kina suala la malisho kwa wafugaji kwani kundi hilo limekuwa likichangia kwa kiasi kubwa shughuli za kiuchumi. Akizungumza na waandishi wa habari na Mwenyekiti wa Chama Cha Wafugaji Nchini Jeremia Wambura amesema kuwa…
4 November 2021, 12:32 pm
Ukosefu wa elimu wapelekea wafugaji kushindwa kupata faida ya mazao ya mifugo ya…
Na ;Thadei Tesha. Wito umetolewa kwa taasisi mbalimbali zinazohusika na kutoa elimu juu ya kuwapa wafugaji elimu ya njia bora za ufugaji kuwa na utaratibu wakuwatembelea wafugaji hususani vijijini. Taswira ya habari umefanya mahojiano na baadhi ya wafugaji jijini hapa…