

27 September 2023, 3:21 pm
Mfuko wa Mawasiliano kwa wote UCSAF umeendelea na jitihada za kuhakikisha upatikanaji wa huduma za mawasiliano ambapo kwa kpindi cha mwaka mmoja julai 2022 hadi june 2023 umejenga minara 304. Na Mariam Matundu. Mfuko wa mawasiliano kwa wote UCSAF umesaini…
18 September 2023, 5:43 pm
Mamlaka ya serikali mtandao inatekereza program ya kukuza bunifu katika tehama kwa wanafunzi wa Elimu ya juu kuanzia kwa miaka 5 sasa tangu mwaka 2019 hadi mwaka 2023. Na Mariam Matundu. Taasisi za Umma zimeombwa kuitumia Taasisi ya mamlaka ya…
28 August 2023, 5:45 pm
Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote(UCSAF) unaendelea na ukaguzi wa minara yote iliyowashwa ili kuona utendaji kazi wake unakidhai vigezo vilivyowekwa kwa mujibu wa Mikataba Na Selemani Kodima Katika kuendelea kutatua changamoto za mawasiliano nchini ,Serikali imefanikiwa kukamilisha miradi ya mawasiliano …
27 June 2023, 6:28 pm
Mkoa wa Dodoma umebahatika kupata minara 36 huku 6 ikijengwa na Vodacom. Na Mindi Joseph. Serikali imeondoa tozo kwenye miamala ya kutuma fedha katika mitandao mbalimbali ya simu ili kuondoa adha kwa watazania. Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na…
8 March 2023, 11:19 am
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limebainisha kuwa linatekeleza miongozo inayotolewa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA). Na Mindi Joseph. Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limebainisha kuwa inatekeleza miongozo inayotolewa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) katika…
21 February 2023, 2:25 pm
Kuibuka kwa wimbi kubwa la matapeli kwa njia ya mitandao ya simu ,imetajwa kusababisha baadhi ya watu kupoteza fedha na mali kwa watu wasiojulikana. Na Victor Chigwada. Hayo yamefahamika baada ya Taswira ya Habari kuzungumza na Baadhi ya wananchi wa…
27 October 2022, 10:35 am
Na; Victor Chigwada. Changamoto ya mawasiliano katika Kijiji Cha Gulwe imeendelea kuwaathiri wananchi kutokana na uhaba wa minara ya mitandao ya simu. Wananchi hao wa Gurwe wamesema kuwa wamekuwa wakipata wakati mgumu wanapo hitaji kufanya mawasiliano kwa njia ya simu…
14 April 2021, 9:48 am
Na Mariam Kasawa Imeelezwa kuwa mtoto anae ishi mtaani ana haki ya kupata haki zote za msingi kama anazopatiwa mtoto mwingine ili kumkinga na maovu. Akizungumza na Kapu kubwa la Dodoma fm Afisa ustawi wa jamii ngazi ya mtaani wa…